The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,206
- 17,359
Haya ni mawazo yangu tu.
Zanzibar wameshatoa Marais wawili; AHM na sasa Samia.
Zanzibar waneshatoa Mskamu wa Rais; Karume, Jumbe, Mwinyi, Shrine, Bilali ba Samia.
Zanzibar ishatoa Waziri mkuu; Salim Ahamed Salim.
Zanzibar ilishayoa Jaji Mkuu; Augustin Ramadhani.
Zanzibar bado haijawahibkutoa Dpika wa Bunge.
Kwa vile CCM wana mtindo wa kufanya mambo kivyaovyao. Sasa ni muda sahihi wa kuwapa Wazanzibar hii nasadi adimu ya Uspika baada ya Uchafuzi Mkuu 2025 ili amlinde Maza vizuri zaidi. Kama Maza hana huo mpango badi ajiandae kwa kipindi kigumu cha maisha yake ndani ya hii miaka 5.
Tulia hapo alipofikia sasa tayari snafikiria top job. Na yeye kuipata hatafanikiwa kuwa kwenye boat moja na Maza. Hivyonitabidi aanze kujitengenezea njia yake bila kumtegemea Maza smvsye hatakuwa maarufu by 2030.
Ushauri wa bure.
No Reform No Election.
Zanzibar wameshatoa Marais wawili; AHM na sasa Samia.
Zanzibar waneshatoa Mskamu wa Rais; Karume, Jumbe, Mwinyi, Shrine, Bilali ba Samia.
Zanzibar ishatoa Waziri mkuu; Salim Ahamed Salim.
Zanzibar ilishayoa Jaji Mkuu; Augustin Ramadhani.
Zanzibar bado haijawahibkutoa Dpika wa Bunge.
Kwa vile CCM wana mtindo wa kufanya mambo kivyaovyao. Sasa ni muda sahihi wa kuwapa Wazanzibar hii nasadi adimu ya Uspika baada ya Uchafuzi Mkuu 2025 ili amlinde Maza vizuri zaidi. Kama Maza hana huo mpango badi ajiandae kwa kipindi kigumu cha maisha yake ndani ya hii miaka 5.
Tulia hapo alipofikia sasa tayari snafikiria top job. Na yeye kuipata hatafanikiwa kuwa kwenye boat moja na Maza. Hivyonitabidi aanze kujitengenezea njia yake bila kumtegemea Maza smvsye hatakuwa maarufu by 2030.
Ushauri wa bure.
No Reform No Election.