Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,378
Tangu nimeachana na mchepuko wangu mwaka jana sikutaka tena masuala ya mahusiano nimejipa muda
Nikawa najichukulia sheria mkononi maisha yakasonga.
Ila hadi leo hii tar 1/1/2023 sioni dalili ya kuwa kwenye mahusiano
Hivyo naona niendelee kwanza kujichukulia sheria mkononi hadi pale mambo yatakapokua sawa.
Heri ya mwaka mpya.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Nikawa najichukulia sheria mkononi maisha yakasonga.
Ila hadi leo hii tar 1/1/2023 sioni dalili ya kuwa kwenye mahusiano
Hivyo naona niendelee kwanza kujichukulia sheria mkononi hadi pale mambo yatakapokua sawa.
Heri ya mwaka mpya.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app