Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,520
- 42,696
Kabisa.Chamsingi bado tunapumua
Kabisa.Chamsingi bado tunapumua
kumshukuru mungu kwa kukujaalia uhai na afya njema umefanya vzrAisee acha tu huu mwaka uishe kwa kweli haukuwa mwaka wangu hata kidogo naumaliza kwa huzuni na masikitiko ningekua na uwezo leo ningejipa pole kwa bia mbili 3 nipunguze machungu..... huu mwaka umenipiga kitukizito kila upande
kiuchumi
huu mwaka nimerudi nyuma hatua 10 naumaliza nikiwa broke pamoja na madeni kila kona
kibiashara
Nimetapeliwa sijui ndo kuibiwa na hawa wanaogiza vitu china siji kurudia nimepata somo aisee,
kimahusiano
kivumbiii japo hapanipi shida muda upo sina haraka.
2023 haujataka nipumue hata kidogo🥲🥲
Achievements kubwa kwa Mwaka 2023 ni kuwa hai na afya namshukuru Mungu kwa hili.
HONGERENI KWA KUMALIZA MWAKA SALAMA NAWATAKIA HERI NA BARAKA TELE ZA 2024
Namuelewa sana....hongera Kwa kuwa na jirani msaidifuJirani wa kitaa. Akiwa na buku ukimuomba jero hakubanii. Mtu sana huyo.
Amehlo unapenda kunichokoza asante lakini.ndugu yangu ndugu yangu ndugu yangu
huu mwaka nina uchungu, maumivu na hasira plus madeni kwenye mipango tangu haijatimia ata 1
sijui nipitishe kapu la mchango
Extrovert Glenn Ngalikihinja KENZY Watu8 njooni mnichangie nilipe madeni. 😀😀😀
all in all tutajaribu tena 2024
Ndo ukubwa huo😂😂biashara zangu zote nne zilikufa jamani😥
Sasa huku ukimbizane na course work mara biashara 4 utatoboa kweli,...angalau tafuta Moja u focus mdogo wangubiashara zangu zote nne zilikufa jamani😥
usinikumbushe mahi nikajiona nilikuwa phaller,, nishazoea hizi 50/100/200 kwa watu niko nao zinapatikana, mashallahKumbe we ni ka microfinance na hausemiii😅
hiki chuo mseleleko, ukiamua usiingie kipindi hata kimoja sawa, mtihani unaomba ruhusa hufanyi😂Sasa huku ukimbizane na course work mara biashara 4 utatoboa kweli,...angalau tafuta Moja u focus mdogo wangu
mambo ni magumu aiseeNdo ukubwa huo😂😂
Halafu tunaowaaminigi ndio wanaotua gushaga ujue?usinikumbushe mahi nikajiona nilikuwa phaller,, nishazoea hizi 50/100/200 kwa watu niko nao zinapatikana, mashallah
Yule nikamuamini, ila loooh! Ngoja kwanza nikalie chooni 🤣🤣
Kwakweli mambo ni magumu.. Hapo bado hujakutana na matapeli mbona maji utaita mmamambo ni magumu aisee
Tulia umalizane nacho salama aiseehiki chuo mseleleko, ukiamua usiingie kipindi hata kimoja sawa, mtihani unaomba ruhusa hufanyi😂
ila saivi mwaka wa mwisho najazia magepu
Kila jambo hupangwa na Mungu. Kilichotokea kwako chukulia ni sehemu tu ya mapito ya Dunia ambayo imejaa mambo mengi mazuri na mabaya .Aisee acha tu huu mwaka uishe kwa kweli haukuwa mwaka wangu hata kidogo naumaliza kwa huzuni na masikitiko ningekua na uwezo leo ningejipa pole kwa bia mbili 3 nipunguze machungu..... huu mwaka umenipiga kitukizito kila upande
Kiuchumi
huu mwaka nimerudi nyuma hatua 10 naumaliza nikiwa broke pamoja na madeni kila kona
Kibiashara
Nimetapeliwa sijui ndo kuibiwa na hawa wanaogiza vitu china siji kurudia nimepata somo aisee,
Kimahusiano
kivumbiii japo hapanipi shida muda upo sina haraka.
2023 haujataka nipumue hata kidogo🥲🥲
Achievements kubwa kwa Mwaka 2023 ni kuwa hai na afya namshukuru Mungu kwa hili.
HONGERENI KWA KUMALIZA MWAKA SALAMA NAWATAKIA HERI NA BARAKA TELE ZA 2024 🥂
Ujue ni madharau ehee? Mimi naona ni madharau, mtu anaona kama anakumudu yan. Siwazagi upande wa kukosa, et kukosa? Wakati unaazima si ulikuwa unajua plans za kurudisha? Zimekwama, naww kopa kwa wenzako umrudishie huyu. Uendelee kujitafuta.Halafu tunaowaaminigi ndio wanaotua gushaga ujue?
😂😂 una baraka zake lakini? Mm namuomba Mungu aniondolee shetani la kuchoka simu.Mwaka 2024 ni namba tuu, ni monday to Sunday.
Hauji na maajabu yoyote, mpaka pale utakapo yatengeneza mwenyewe.
Huwa na Nia ya kutapeli tu....ila Mtu kama huyo nzuri sana kajipa ticket ya bye bye siku nyingine haleti miguu yake kueleza shida zake..Ujue ni madharau ehee? Mimi naona ni madharau, mtu anaona kama anakumudu yan. Siwazagi upande wa kukosa, et kukosa? Wakati unaazima si ulikuwa unajua plans za kurudisha? Zimekwama, naww kopa kwa wenzako umrudishie huyu. Uendelee kujitafuta.
Amenisikitisha mno, nikimfikiriaga mpk tumbo linakata 🥹
Tukiwaambia wacheze vicoba, wanatuona wapori pori