Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
- Thread starter
- #61
Wasamehe mkuu ni elimu tu wamekosa kidogo. Ila tutaendelea kuwaimbia hivi mpaka akili ziwakae sawaMtu anayeitwa mpumbavu ni yule yeyote asiyejielewa! Unashabikia vitu vya kijinga, unajua kabisa nguvu huna unataka kupambana na mwenye nguvu, hekima ni kumkwepa mwenye nguvu. Ndo maana nikasema wakina Nyerere walikuwa na hekima, wakubwa wanaposema habari ya ushoga hawa maanishi wanataka mfirane, hapana. Ila kutetea haki za binadamu, yaani maisha ya binadamu yaheshimiwe kwa namna yoyote, la sivyo tutaanza kuona damu za mashoga zikimwagika na baadaye watakuja walevi na baadaye wazinzi nk.
Wakubwa wanataka equilibrium , dunia itulie sio kuleta harakati, ndo maana hata waovu wengine kama mashoga hawamdhuru mtu, wameunda chama ili kujitetea wasi fuatwe fuatwe.
Hivyo nitaendelea kutumia neno wapumbavu hadi akili zitakapoingia na ufahamu kuonekana.
Sent using Jamii Forums mobile app