Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Sasa hivi hamna cha ukaskazini soka imebadilika ,wameshadrop points jua wengine washajichukulia points,zamu hii wakipambana ni draw tuNi swala la muda tu.....timu za kaskazini si unajuwa tena, mwanzo wanasoma mazingira, next match utawaona tofauti, ndiyo kawaida ya timu za kaskazini