2021 AFCON Special Thread

Sasa hivi hamna cha ukaskazini soka imebadilika ,wameshadrop points jua wengine washajichukulia points,zamu hii wakipambana ni draw tu

Hahaaa sawa kamanda, naomba utunze hii comment

My Prediction

......... Algeria and Morocco
......... Senegal and Algeria
......... Nigeria and Morocco
......... Morocco and Algeria

Bila kuwasahau Mali na Tunisia
 
Michuano ya Afcon imefika, ni hapo kesho ndio inatarajiwa kuzinduliwa. Itafanyika kuanzia kesho Januari 9 mpaka Februari 6 mwaka huu.

Michuano hii ilibidi ifanyike mwaka jana 2021 ila kwasababu ya Covid-19 ikahairishwa. Hivyo inafanyika mwaka huu ila ina jina la mwaka jana.

Mwenyeji wa michuano hii ni Cameroon, huku Algeria akiwa ni bingwa mtetezi!

Jumla ya timu 24 zitapambana kutafuta bingwa mpya katika michuano itakayifanyika katika majiji matano yenye viwanja sita ndani ya Cameroon.

Mechi hizo zitakuwa live kupitia ving'amuzi vya Azam, Dstv, Star times, Canal.
Wale wadau wa kustream basi pitieni hesgoal.com

Hivyo, kwa updates zote za michuano hiyo utakuwa unazipata kwenye uzi huu karibu sana mwanamichezo!

View attachment 2073241
Nani anawakilisha Afrika mashariki?
 

Hahaaa sawa kamanda, naomba utunze hii comment

My Prediction

......... Algeria and Morocco
......... Senegal and Algeria
......... Nigeria and Morocco
......... Morocco and Algeria

Bila kuwasahau Mali na Tunisia
We jamaa bana prediction zako Waga za ajabu sana, Sasa unaotea team 5 tena zote ambazo zina asilimia kubwa ya kufika finally, Yani ni sawa mtu aseme Eti napredict bingwa wa ligi kuu bara kama sio Yanga basi Simba ilhali ndio always inakuwa hivo

Hakunaga prediction ya hivo mzee, we predict team mbili zitacheza fainali sio kuotea otea tu lundo la team ili hii ikishindikana basi hii ikubali, ndo kuotea gani huko sasa, we go specific either, finally it will be Senegal vs Morocco full stop
 
Hahaaa sawa kamanda, naomba utunze hii comment

My Prediction

......... Algeria and Morocco
......... Senegal and Algeria
......... Nigeria and Morocco
......... Morocco and Algeria

Bila kuwasahau Mali na Tunisia
Chagua team mbili za kufika fainali Ili zikifika tuseme kweli ulitabiri, Sasa hapo si umetaja timu zinazofanya vizuri kwa sasa
 
Back
Top Bottom