2021 AFCON Special Thread

Hivi Tanzania Tulikuwa Tunapambana Kuja Huku ili Mfungaji wetu awe Bocco? Au Beki awe Kibwana Shomary
au Kiungo Awe Feisal Toto? Bora hata hatukuja

Simba Iliwadanganya hadi Timu ya Taifa Kuwa Wangeweza Kupambana na Waarabu, Wa Nigeria


Simba Mungu Anawaonaaaa Kuwaaminisha wenzenu Ujinga
 
Tuongelee game ya mda huu kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…