Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Mzazi wangu mmoja aliye hai anaishi hapa hapa Dar. Dogo keshaimba Magufuli Baba Lao, hayo maneno wanapoyasikia vijana yakiimbwa na Diamond tayari ni kampeni yenye kujitosheleza.Wewe umeanza kujitambua lini wakati unashinda mitandaoni kuisifia ccm wakati wazazi wako huko bukoba wanashindia mutwishi na uyoga?
Sent using Jamii Forums mobile app