Msakila KABENDE
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 510
- 314
KIGOMA mtu asicheze nayo - barabara ya Nyakanazi hadi Kigoma ni jehanamu (sisi tutaendelea kumwombea kijana wetu Mondi ili afike mbali) Lkn wanaotufanya tule mwaka mpya wa 2020 bila kulipwa fedha za pamba tutawawajibisha, wanaofukuza watoto wetu vyuo vikuu tutawajibu,
Inshort kigoma hakuna zuzu
Inshort kigoma hakuna zuzu