Hivi mnalipwa kiasi gani kuichafua nchi yenu?? Hamna hata maombi kuuombea huu uchumi badala yake ni kuiombea ifilisike!!! Mnatia huzuni kweli kweli. Mnadhani leo huo uchumi ukiporomoka wewe utakuwa wapi??
Ninamuamini kamanda wetu. Ni dereva mathubuti, ameenda Sauzi akatupatia ajira. Kila msomi aliyesoma Kiswahili, nenda ubalozi wa SA ukajiandikishe. Nenda ubalozi wa Namibia, Msumbiji na Zimbabwe. Haya milango ya kutokea hiyooooo wazi kabisa. Acha kupiga majungu humu jf nenda Sauzi.
Tumetangaziwa na viongozi wetu kuwa katika EAC sisi ndo tunaongoza kwa uchumi unaokuwa fast tukifuatiwa na Kenya. Wewe usiye na data unatuambia ati uchumi utaparaganyika ikifikia 2020. Lini? Mwezi? Siku??? No data no right to write.
Hatuogopeshwi na ninyi viranja wa mabeberu. Tumewatimua na hamtapata nafasi kamwe.