2020 Dr. Magufuli kusoma Urais

2020 Dr. Magufuli kusoma Urais

Ila naona dharau ya wazi iliyofanywa na M7 kule Uganda wakati wa press yao na waandishi wa habari.
Huu uliofanywa na M7 ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa rais wetu. Naamini M7 anajua kabisa kuwa Rais wetu Lugha za nje ya Tz zinampa shida, ni kwa nini aliruhusu maswali mengine yaulizwe kwa Lugha za kigeni?????????????.
Unaona sasa!! Sera za upinzani sasa imekuwa sera ya lugha ya kiingereza?? Hivi watz kweli tunahitaji rais ambaye lazima awe anaongea kama mwingereza?? Kweli CCM itaongoza miaka 300!! Tunahitaji maendeleo siyo lugha ya kitumwa na asiyependa mila zake ikiwemo lugha yake ni mtumwa wa akili...!!
 
Huyu hata akisimama na joti either iwe.tume huru ama tume yake anangoka 110%
 
Bingwa amevuruga dili la watumishi hewa, madini kusafirishwa, kuzuia kusafiri ovyo nje ya nchi, wanafunzi hewa, fedha sherehe za muungano,
Hayo ni kwa manufaa ya Taifa
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.
Hujui ulisemalo, mtafute mama Mngwira akusaidie
 
Unaona sasa!! Sera za upinzani sasa imekuwa sera ya lugha ya kiingereza?? Hivi watz kweli tunahitaji rais ambaye lazima awe anaongea kama mwingereza?? Kweli CCM itaongoza miaka 300!! Tunahitaji maendeleo siyo lugha ya kitumwa na asiyependa mila zake ikiwemo lugha yake ni mtumwa wa akili...!!
Chadomo watasafirisha weeeeeee.ccm chama dume. Hivi leo unaweza kusema JPM hawezi kucommunicate in English? ? Wajinga what is English in URT perspective? ?? JPM kawatoa tongotongo Watanzania waliokuwa wanaona aibu kutumia kiswahili. Lugha yako ni uchumi
 
Kwa tume ipi? Acha kutupa matumaini hewa. Tena msipokuwa makini anaweza asitoke hata 2025. Huwezi kuwa jeuri namna hii ukatoka kizembe zembe. Kina M7 wanapenda sana kupumzika lakini atawaambia nini Dr. Besigye wakishika nchi
Hahahaa
 
W
Unaona sasa!! Sera za upinzani sasa imekuwa sera ya lugha ya kiingereza?? Hivi watz kweli tunahitaji rais ambaye lazima awe anaongear kama mwingereza?? Kweli CCM itaongoza miaka 300!! Tunahitaji maendeleo siyo lugha ya kitumwa na asiyependa mila zake ikiwemo lugha yake ni mtumwa wa akili...!!
Wewe mgumu sana kuelewa, na kama type ya wanaccm wote wako kama wewe basi nchi itaendelea ya wajinga masikini na wenye maradhi, Haya matatizo hayatatoka.
China ni nchi iliyoendelea lkn Rais wao anajua kimombo, sembuse huyu mvuta kokolo ndo aseme anaonyesha uzalendo.
Na wanaCCM mmeshafanya neno uzalendo kama kichaka cha kufichia udhaifu wa mtu wenu!!!,Anyways pambaneni na hali yenu hiyo.
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.
Msipo mchafua tume take itamtangaza mshindi, tz sio Kenya!
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.

Wanasiasa buana ni shida sana! Chama chako kilitoa mgombea wa urais uchaguzi uliopita. Niambie yupo wapi? Mkumbo yupo wapi? na Mwigamba yupo wapi? Hata ulichokiandika hapo juu ni upuuzi (as long as you are from ACT)
 
Umeona alivyovurugwa Uganda? Ndio maana anaogopa maswali ya waandishi wa nje.....amezoea waandishi wa bahasha hawa wetu wanauliza direct....pale ameulizwa swali M7 akaona oohhhapa huyu kanjanja wa lugha amesikia neno la mwisho akarirudia takuwa shida.....akawa anamsaidia....amemsaidia sana....maana amevurugwa akakubali anabaka haki za binadamu
Maswali ya wakina mzee Msako-Kipima joto ndiyo design ya maswali anayapenda Magu.
 
Mwaka 2020 anarudi ikulu kwa sababu kura zilishapigwa mapema na kile kikundi cha January makamba na tume za uchaguzi zipo kwenye makabati wanasubiri kutangaza tu, hatachaguliwa na wananchi bali uchakachuaji ndiyo utamrejesha ikulu.
Hujuwi hata Makamba jnr alichukua fomu bila kutumwa na yoyote 2015....2020 anapigania kimkakati ndani ccm ...time will tell
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.
Magufuli kasha sema atagombea 2020?!?!
Pumba nyingine...Wenzenu wapo kwenye chaguzi za mitaa!!
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.

You are just wasting your time...and keep dreaming
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.
Kumbe upo kijijini
 
Hizo ni porojo za mitandaoni jpm had I 2025 kwa sababu hana mpinza mwenye ubavu wa kumtoa ikulu
 
Back
Top Bottom