2020 Dr. Magufuli kusoma Urais

2020 Dr. Magufuli kusoma Urais

Chama Kipi kitamtoa madarakani??
Nani atamtoa madarakani??
Wakurugenzi ndio wasimamizi wa Uchaguzi,wakurugenzi ni wanachama makada wa ccm,jumlisha na kutoa utapata jibu sahihi.....

Mnadai tume huru kwenye social media,Odinga alidai tume huru kwa maandamano na bado hakuipata tume iliyo huru mpaka leo analalamika tuu.....mkae mkijua tume huru haiombwi Afrika,tume huru inapiganiwa Afrika.
 
Kipenzi cha wanyonge gani au wale wa Kimara wanaolala nje waliobomolewa nyumba zao.
Nao acha walale nje kwa nn wajenge kwenye hifadhi?kama wana akili wakalale kwa mnyika au kubenea si ndo viongozi wao
 
kusema ukweli ni vizuri wakati wote so I dare to say before you all that by hook or crook the guy will win election by 2020, also CCM will win the 2025 general election.
Siungi mkono CCM ila nature ya upinzani wa Tanzania na watanzania walio wengi kwa ijumla ndo unaofanya CCM ibaki madarakani hata kama ni kwa "napeism".
 
Nazan 2025 utakuwa ndo muda sahihi wa kumpumzisha.
2020 tumwache aendelee tu.

Anatuingiza uchumi wa viwanda, tayari tuna Ndege na train ya umeme mpaka Dodoma akikaa miaka 8 iliyosalia tutakua na underground train ktk miji yetu mikubwa...
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.
chama kipo ujiji tu halafu unaota kumshinda mgombea wa ccm
 
Pyuu pyuuu hamna kwani maan mtu anayevunja katiba anatakiwa apewe pyupyuuuu
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.

Vipi siku hizi mnabakiwa na wanachama wangapi huko ACT?
 
Vyama vya siasa bwana mda mwingine unapatwa na hasira hata kuvishauri japo wengi tunatamani siku moja maccm yawe wapinzani.

Lakini vyama vya siasa ni porojo tupu ndani yenu kwanza hamjakaa na kujipanga wanainchi wawaone na kuamini.

Tume ya uchaguzi inateuliwa na Raisi aliyeko madarakani CCM hamulioni hilo, mnakuja kulilia na kutafuta huruma kwa wanainchi kwa nini msidai tume huru ya uchaguzi?

Ehee ukisha mtoa Magufuli madarakani nini kinafuata? una mipango gani ya kututoa hapa tulipo na kutupeleka kwenye matamanio ya kila mmoja wetu?

CUF yenyewe ndo hiyo tunayoishuhudia!!!

CDM kupata mgombea mpaka wasubiri anayekatwa na MACCM ndo mgombea wao unawatoaje sasa!!

Mna hoja zipi kwa sasa au mnasubiri Magufuli akosee kuongea kingereza ndo iwe hoja?

Mnasubiri ndege zishikiliwe kwa madeni ndo iwe hoja?

Hoja ya ufisadi iliishia wapi?
 
Wanasiasa tumewazoea,kwani kadi zetu mnazo nyie? hiyo ngoma 2025 hutaki hivyo,unataka ni hivyo hivyo, naweka kumbukumbu uzi wako nitakuja kuufukua
 
Chama Kipi kitamtoa madarakani??
Nani atamtoa madarakani??
Wakurugenzi ndio wasimamizi wa Uchaguzi,wakurugenzi ni wanachama makada wa ccm,jumlisha na kutoa utapata jibu sahihi.....

Mnadai tume huru kwenye social media,Odinga alidai tume huru kwa maandamano na bado hakuipata tume iliyo huru mpaka leo analalamika tuu.....mkae mkijua tume huru haiombwi Afrika,tume huru inapiganiwa Afrika.
Baelezea nyumbu hawa. Nchi haitolewi kwenda UPINZANI kwa kuchonga domo JF nendeni Namtumbo, Sapiwi, Kibaoni ambako ccm hupataga 100% ndiyo tutawaelewa.
 
Chama chenu hakijulikani vijijini ambako ccm hupataga za kutosha dhidi ya wale ambao kura hazikutosha. Kwa taarifa yako Tanzania ina u kubwa wa square km0.9 milioni ccm ina mabalozi kila shina. Upinzani mna nini. Acheni kujaza server ya JF kwa uharo wenu
 
Chama chenu hakijulikani vijijini ambako ccm hupataga za kutosha dhidi ya wale ambao kura hazikutosha. Kwa taarifa yako Tanzania ina u kubwa wa square km0.9 milioni ccm ina mabalozi kila shina. Upinzani mna nini. Acheni kujaza server ya JF kwa uharo wenu
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.
Ni ndoto tena ya mchana Rais Magufuli kushindwa 2020!! Kwa upinzani upi?? Huu wa kina Mbowe na Zitto?? Au mnasubiri wakina Nape au Membe wakitoka CCM ndiyo wamtoe Magufuli???
 
NIMETOKA BAN LEO...
Naogopa hata kutia neno hapa.Maana kwa sasa sina imani na mods na uongozi wa JF nahisi wako upande wa pili
Hahahaa...

Pole Mkuu..

Ulizingua nini!?
 
2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS

"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be certainly the end of Magufuli's presidency. Mwaka 2020 ndio mwisho wa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Watanzania wa sasa tuna akili, tumesoma na tuna uelewa. Hatutamuacha Ikulu mtu anayevuruga nchi"
......

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kijiji cha Makande,
Kata ya Lukumbule,
Wilaya ya Tunduru.
Tarehe 10 Novemba 2017.
Mwaka 2020 anarudi ikulu kwa sababu kura zilishapigwa mapema na kile kikundi cha January makamba na tume za uchaguzi zipo kwenye makabati wanasubiri kutangaza tu, hatachaguliwa na wananchi bali uchakachuaji ndiyo utamrejesha ikulu.
 
Ila naona dharau ya wazi iliyofanywa na M7 kule Uganda wakati wa press yao na waandishi wa habari.
Huu uliofanywa na M7 ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa rais wetu. Naamini M7 anajua kabisa kuwa Rais wetu Lugha za nje ya Tz zinampa shida, ni kwa nini aliruhusu maswali mengine yaulizwe kwa Lugha za kigeni?????????????.
 
Ila naona dharau ya wazi iliyofanywa na M7 kule Uganda wakati wa press yao na waandishi wa habari.
Huu uliofanywa na M7 ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa rais wetu. Naamini M7 anajua kabisa kuwa Rais wetu Lugha za nje ya Tz zinampa shida, ni kwa nini aliruhusu maswali mengine yaulizwe kwa Lugha za kigeni?????????????.
Hakuna shida na Lugha kwani wazungu hilo huwa hakiwapi shida, Tatizo ni kuminya Demokrasia kuwafanya watanzania kuishi kama mashetani
 
2020 ushindi kwa kishindo kwa JPM, mikakati ya maendeleo mpaka 2020 mtamkubali na kukosa hoja za kushushua utawala wake
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Back
Top Bottom