Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
Chama Kipi kitamtoa madarakani??
Nani atamtoa madarakani??
Wakurugenzi ndio wasimamizi wa Uchaguzi,wakurugenzi ni wanachama makada wa ccm,jumlisha na kutoa utapata jibu sahihi.....
Mnadai tume huru kwenye social media,Odinga alidai tume huru kwa maandamano na bado hakuipata tume iliyo huru mpaka leo analalamika tuu.....mkae mkijua tume huru haiombwi Afrika,tume huru inapiganiwa Afrika.
Nani atamtoa madarakani??
Wakurugenzi ndio wasimamizi wa Uchaguzi,wakurugenzi ni wanachama makada wa ccm,jumlisha na kutoa utapata jibu sahihi.....
Mnadai tume huru kwenye social media,Odinga alidai tume huru kwa maandamano na bado hakuipata tume iliyo huru mpaka leo analalamika tuu.....mkae mkijua tume huru haiombwi Afrika,tume huru inapiganiwa Afrika.
