Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 632
FIFA wanapeleka kombe kwa wale wanaotoa mshiko mwingi zaidi lol, hiyo timu ya taifa ya Qatar ata kuqualify kwenye kombe la dunia haijawahi, hawana historia ya soka kivile Msije kushangaa siku fainali za kombe la dunia zikapelekwa Papua New Guinea.
Kipindi hiki ndio kizuri cha wachezaji soka kuchukua uraia wa Qatar.
Kipindi hiki ndio kizuri cha wachezaji soka kuchukua uraia wa Qatar.