2018 Nakumbuka Makinikia, Wewe Unakumbuka Nini?

2018 Nakumbuka Makinikia, Wewe Unakumbuka Nini?

Hakika mwaka 2018 jambo kubwa lililo niumiza ni suals la Makinikia ambalo tuliaminishwa kuwa "wanaume' wata tulipa trillion 450 fedha ambazo zingeibadili kabisa nchi yetu na hata haya mambo ya kupora wakulima korosho yasingekuwepo. Ajabu ni kuwa makinikia hayatajwi kabisa kama vile kutaja kitimoto msikitini, sio Mzee Baba au Kabudi wote kimya.
Hilo limeniuma sana 2018, wewe jee ni nini?
hakuna kilichoniboa kama Wasiojulikana na wakalindwa na serikali.
 
Usintie uchungu kwa habari za makinikia maana ndo nami nlikua nasubir nipate noah yangu
Hakika mwaka 2018 jambo kubwa lililo niumiza ni suals la Makinikia ambalo tuliaminishwa kuwa "wanaume' wata tulipa trillion 450 fedha ambazo zingeibadili kabisa nchi yetu na hata haya mambo ya kupora wakulima korosho yasingekuwepo. Ajabu ni kuwa makinikia hayatajwi kabisa kama vile kutaja kitimoto msikitini, sio Mzee Baba au Kabudi wote kimya.
Hilo limeniuma sana 2018, wewe jee ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka mipango ya maandamano ya April 26 ilivyoishia angani.

Waandaaji wa maandamano hayo hawakujitokeza kuwa mstari wa mbele kuyaanzisha na kuyaongoza.

Wangefanya hivyo basi hiyo ingekuwa historia pekee.
 
Nakumbuka Magufuli alivyotishia kuwapiga mashangazi wa waziri mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom