2018 Nakumbuka Makinikia, Wewe Unakumbuka Nini?

2018 Nakumbuka Makinikia, Wewe Unakumbuka Nini?

Chakaza

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
41,011
Reaction score
74,659
Hakika mwaka 2018 jambo kubwa lililo niumiza ni suals la Makinikia ambalo tuliaminishwa kuwa "wanaume' wata tulipa trillion 450 fedha ambazo zingeibadili kabisa nchi yetu na hata haya mambo ya kupora wakulima korosho yasingekuwepo. Ajabu ni kuwa makinikia hayatajwi kabisa kama vile kutaja kitimoto msikitini, sio Mzee Baba au Kabudi wote kimya.
Hilo limeniuma sana 2018, wewe jee ni nini?
 
Hakika mwaka 2018 jambo kubwa lililo niumiza ni suals la Makinikia ambalo tuliaminishwa kuwa "wanaume' wata tulipa trillion 450 fedha ambazo zingeibadili kabisa nchi yetu na hata haya mambo ya kupora wakulima korosho yasingekuwepo. Ajabu ni kuwa makinikia hayatajwi kabisa kama vile kutaja kitimoto msikitini, sio Mzee Baba au Kabudi wote kimya.
Hilo limeniuma sana 2018, wewe jee ni nini?

Hivi makinikia bado yapo bandarini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom