randez vous
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 890
- 621
Pole sana Mkuu, maandiko yanasema tajiri ataongezewa maradufu na maskini atapokonywa hata kifogo alichonacho.Yani nikisikia jina korosho mkuu wa wilaya ..... na mkurugenzi wa mji wa .... napata hasira hadi kende zinafika kooni mkuu. Wamezuia Toyo iliyobeba mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Mgibeon, ni kweli kbs na mlango mmoja ukifungwa mwingine hufunguliwa.Pole sana Mkuu, maandiko yanasema tajiri ataongezewa maradufu na maskini atapokonywa hata kifogo alichonacho.
Kabisa Kabisa ndugu yangu, muhimu kuendelea kupambana tu.Asante sana Mgibeon, ni kweli kbs na mlango mmoja ukifungwa mwingine hufunguliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app