2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

f7f71dc493e5ade47a6a3ae905f91090e4eb3d8cbcbefd3728535db921d24270_3775229.jpg


Hawa ndio wameleta tatizo.

Huma Abedin ambae ni msaidizi wa Hillary Clinton na Anthony Weiner ambae ni seneta wa zamani.

Waliachana na baada ya hapo FBI wamekuwa wakimchunguza mama huyu katika kufanya "vetting".

Uchunguzi huo ambao umefanywa mwaka mzima umegundua kuwa hawa watu wawili walikuwa wakitumia server ya ofisi ya Hillary Clinton kinyume na taratibu na pia wakaweza kudukua barua pepe nyingi sana ambazo ni za siri za serikali.

Na udukuzi huu walikuwa wakiufanya kati ya mwaka 2009 na 2013.

Je, hawa watu wawili hawawezi kuwa ni majasusi kweli?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu hii haina uhusiano wowote na mtu kuzibwa mdomo ndani ya FBI na wala haihusiani na email za wikileaks.

Huyo binti Huma Abedin katika lap top yake kakutwa na emails ambazo ni classified na hakustahili kuwa nazo katika share lap top ambayo alikuwa anashare na former husband. Mpaka sasa hivi haijulikani hizo emails zina contents zipi, nilikuwa namsikiliza lawyer mmoja aliyebobea few minutes ago CNN aliyehitimisha kwamba pamoja na Director wa FBI kuwa under tremendous pressure from both campaigns to release the contents of those emails anaweza asifanye hivyo kabla ya uchaguzi kwa sababu inabidi ufanyike uchunguzi wa kina kuhusu emails hizo ambazo zinasemekana ni nyingi. Kwa wale voters ambao walikuwa kwenye borderline ya kutojua nani wampigie kura katika uchaguzi huu inaweza kabisa wakaamua kumpigia Trump na hivyo kubadili matokeo ya uchaguzi ambao HRC alikuwa anaingia WH. Tusubiri tuone hii drama katika hizi siku 11 zilizobaki na jinsi ambavyo itaathiri matokeo ya uchaguzi huu.

Nadhani OP za next few days zinaweza kusaidia kuona kama kuna momentum shift kuelekea kwa Trump.


BAK this was coming but was timed as last minute one.

Kuna elements ndani ya FBI ambao wanahisi wamezibwa midomo hvyo wameamua "liwalo na liwe."
 
Hmmmmmm! I did not see this coming! Is this a game changer!?
FBI Reopening Clinton Email Investigation

October suprise?!..they were able to snick it in just before the month ends but, watch this space. A bet bi mkubwa's team is back into digging so they can top this one, with few days left, I think it's a matter of whose dirty is worse between them two. This thing ain't over til it's over, and after all is said and done!...we all know who's going "back" to the white house. 😀
 
  • Thanks
Reactions: BAK
f7f71dc493e5ade47a6a3ae905f91090e4eb3d8cbcbefd3728535db921d24270_3775229.jpg


Hawa ndio wameleta tatizo.

Huma Abedin ambae ni msaidizi wa Hillary Clinton na Anthony Weiner ambae ni seneta wa zamani.

Waliachana na baada ya hapo FBI wamekuwa wakimchunguza mama huyu katika kufanya "vetting".
Uchunguzi huo ambao umefanywa mwaka mzima umegundua kuwa hawa watu wawili walikuwa wakitumia server ya ofisi ya Hillary Clinton kinyume na taratibu na pia wakaweza kudukua barua pepe nyingi sana ambazo ni za siri za serikali.
Na udukuzi huu walikuwa wakiufanya kati ya mwaka 2009 na 2013.
Je, hawa watu wawili hawawezi kuwa ni majasusi kweli?


Sio majajusi Richard. Abedin is one of the smartest and descent woman out there, and she has been very loyal to the Clintons, (Hillary especially) since when she was a white house Intern during Bill's administration.
Her man is the one with issues, kumbuka when he got busted, (alivyokutwa na texts za watoto wa kike) while he's a married man. Halafu hata baada ya mkewe kumsamehe jamaa akaendeleza upuuzi mpaka yakamfika mkewe shingoni.

Makes you wonder, for someone as smart as her, to go that way..
 
...there's always good News. 🙂

With Donald J. Trump facing a potential rout at the hands of Hillary Clinton, a river of cash from some of the Republican Party’s biggest donors has begun to flow down to Senate and House races in the final days of the 2016 campaign.

Disclosures filed with the Federal Election Commission on Thursday revealed tens of millions of dollars in late donations and transfers to Republican “super PACs” focused on down-ballot races, suggesting a significant last-ditch effort to protect Senate and House candidates against Mrs. Clinton’s surge. Relatively little new money has come into outside groups supporting Mr. Trump.

And Mr. Trump appears to have lost the support of his biggest donor: himself...

http://www.nytimes.com/2016/10/28/u...-is-abandoned-by-big-donors-even-himself.html
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakuu Kui na BAK, siasa za Marekani sasa hivi zimepoteza credibility yake maana hakuna wa kumuamini sasa.

Tatizo ambalo Trump analo ni kwamba tayari kura zimepigwa kwenye baadhi ya majimbo na Hillary Clinton anaongoza bado.

Labda iwe ni hizi siku 10 zilizobakia kubadili wapiga kura wale ambao ni undecided lakini inaonekana kutakuwa na mabadiliko fulani au itafanana na ule uchaguzi wa Al Gore na George Bush Jnr
 
  • Thanks
Reactions: kui
Wakuu Kui na BAK, siasa za Marekani sasa hivi zimepoteza credibility yake maana hakuna wa kumuamini sasa.

Tatizo ambalo Trump analo ni kwamba tayari kura zimepigwa kwenye baadhi ya majimbo na Hillary Clinton anaongoza bado.

Labda iwe ni hizi siku 10 zilizobakia kubadili wapiga kura wale ambao ni undecided lakini inaonekana kutakuwa na mabadiliko fulani au itafanana na ule uchaguzi wa Al Gore na George Bush Jnr
Hizo kura ambazo zishapigwa matokeo yake yashatangazwa?

Kama yametangazwa, nani kayatangaza?

Na kama tayari yashatangazwa, ni wapi ambako Hillary anaongoza na anaongoza kwa kiasi gani?

Nauliza kwa nia njema kabisa ya kutaka kujua maana yaelekea hilo lilinipita. Hivyo nitashukuru ukinifuta ujinga kwa hilo.
 
...there's always good News. 🙂

With Donald J. Trump facing a potential rout at the hands of Hillary Clinton, a river of cash from some of the Republican Party’s biggest donors has begun to flow down to Senate and House races in the final days of the 2016 campaign.

Disclosures filed with the Federal Election Commission on Thursday revealed tens of millions of dollars in late donations and transfers to Republican “super PACs” focused on down-ballot races, suggesting a significant last-ditch effort to protect Senate and House candidates against Mrs. Clinton’s surge. Relatively little new money has come into outside groups supporting Mr. Trump.

And Mr. Trump appears to have lost the support of his biggest donor: himself...

http://www.nytimes.com/2016/10/28/u...-is-abandoned-by-big-donors-even-himself.html
Hahahahhhahaaaaa hhaaaaaaa

Madam, when did you start following the developments of this election? Or are you glued to the mainstream media as your main source of information? By the way, Katie Hopkins called CNN, Clinton's News Network during her conversation with CNN!!! I admire strong and courageous women like this. Watch this,


How much of Hillary Clinton's OWN money has she spent on this election?, Trump has hit $100 million of his own money.

Trump was the only candidate during the Rep. primaries who was financing his own campaign and many Americans LIKE HIM MORE because of the fact that he is not BOUGHT by donors and special interests. Trump unlike Hillary DOESN'T DEPEND ON DONORS.

Trump spent the LEAST money of all the Rep. candidates during the Rep primaries and he still WON. Trump has held a lot of fund-raisings for the Republican party.

Hillary spending on ads against Trump is above that of Trump against her by a ratio of 50:1, and he is still doing well and has REAL chances of winning.

Somebody is spending less money and still wins but mainstream media doesn't like that, I think he essentially need to spend the minimum possible amount of money because Hillary with all the money thrown to her by her donors is still struggling. It seems money is not the solution after all.

The Clinton's surge is not real, that's your mainstream media suggestion, you see 'they' spend resources telling people that this election is over in favor of Hillary so the Trump voters can be discouraged to line up to vote but that's not working.
 
BREAKING NEWS;-
***

BREAKING: FBI Reopens Clinton Email Probe just 11 days before the Presidential Election.

This is a MASSIVE development. Make sure everyone you know sees this!
 
Wakuu Kui na BAK, siasa za Marekani sasa hivi zimepoteza credibility yake maana hakuna wa kumuamini sasa.

Tatizo ambalo Trump analo ni kwamba tayari kura zimepigwa kwenye baadhi ya majimbo na Hillary Clinton anaongoza bado.

Labda iwe ni hizi siku 10 zilizobakia kubadili wapiga kura wale ambao ni undecided lakini inaonekana kutakuwa na mabadiliko fulani au itafanana na ule uchaguzi wa Al Gore na George Bush Jnr
Siasa za marekani zimepoteza 'credibility' kwa sababu kuna mgombea wa Urais wa chama cha Dem. ambaye anapaswa kuwa gerezani na sio kuzunguka kufanya kampeni. Kuna wananchi wengi waliofanya makosa madogo kuliko yeye na maisha yao yamekuwa mabaya huku wengine wakitumikia vifungo gerezani. FBI wanachofanya ni kujihami, ndio maana wametoa hiyo barua kabla ya tarehe 11/8.

Hillary anajua kwamba James Comey hawezi kuanika hizo taarifa alizozipata mbele za watu kutokana na utaratibu wa DOJ kumzuia kufanya hivyo. Hillary hakupaswa kugombea Urais.

Hufahamu kwamba kuna Blue states na Red states na kuna battleground states?

Ukweli utajulikana, na Hillary aliendesha uchangishaji wa fedha zaidi ya $500,000 alizopewa mke wa Afisa wa FBI aliyesimamia upelelezi wake kuhusiana na matumizi ya e-mail server ya binafsi.

Clinton Ally Aided Campaign of FBI Official’s Wife

There is a lot of cover ups and she used BleachBit to wipe her server and destroyed her electronic devices. That should prove intent.
 
Siasa za marekani zimepoteza 'credibility' kwa sababu kuna mgombea wa Urais wa chama cha Dem. ambaye anapaswa kuwa gerezani na sio kuzunguka kufanya kampeni. Kuna wananchi wengi waliofanya makosa madogo kuliko yeye na maisha yao yamekuwa mabaya huku wengine wakitumikia vifungo gerezani. FBI wanachofanya ni kujihami, ndio maana wametoa hiyo barua kabla ya tarehe 11/8.

Hillary anajua kwamba James Comey hawezi kuanika hizo taarifa alizozipata mbele za watu kutokana na utaratibu wa DOJ kumzuia kufanya hivyo. Hillary hakupaswa kugombea Urais.

Hufahamu kwamba kuna Blue states na Red states na kuna battleground states?

Ukweli utajulikana, na Hillary aliendesha uchangishaji wa fedha zaidi ya $500,000 alizopewa mke wa Afisa wa FBI aliyesimamia upelelezi wake kuhusiana na matumizi ya e-mail server ya binafsi.

Clinton Ally Aided Campaign of FBI Official’s Wife

There is a lot of cover ups and she used BleachBit to wipe her server and destroyed her electronic devices. That should prove intent.
The Clintons are so shady!
 
Comey was the United States Deputy Attorney General from December 2003 to August 2005, serving in President George W. Bush's administration. ... In September 2013, Comey was appointed Director of the FBI by President Barack Obama.

Comey and his wife Patrice are the parents of five children. He is a Roman Catholic of Irish descent. Comey is a registered Republican who donated to U.S. Senator John McCain's campaign in the 2008 presidential election and to Governor Mitt Romney's campaign in 2012 presidential election.

kui I am very impressed with your condidence on the outcome of this coming election. I am worried especially by those who are still on the fence doing Hillary/Trump Hillary/Trump Hillary/Trump before making their final decision on who to vote for. Obama must be very mad to promote Comey to a higher position. Once a snake always a snake.

October suprise?!..they were able to snick it in just before the month ends but, watch this space. a bet bi mkubwa's team is back into digging to top this one, with few days left, I think it's a matter of whose dirty is worse between them two. This thing ain't over til it's over, and after all is said and done!...we all know who's going "back" to the white house. 😀
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hillary Clinton demands FBI give details on latest email inquiry 'immediately'

Democratic candidate says sudden announcement with no explanation is ‘not good enough’ after FBI director notifies Congress of ‘pertinent’ discovery




Hillary Clinton called on the FBI to “immediately” explain its review of a new batch of emails the agency said appeared to be pertinent to the previous investigation into her use of a private server.

Addressing reporters on Friday, the Democratic presidential nominee said it was “imperative” for American voters to have all of the information with just 11 days remaining before the presidential election.

“The American people deserve to get the full and complete facts immediately,” Clinton said during a press conference in Des Moines, Iowa. “It’s imperative that the bureau explain this issue in question, whatever it is, without further delay.”

“We are 11 days out from perhaps the most important national election of our lifetimes.”

The FBI director, James Comey, announced the discovery of the new emails in a letter to Congress, which did not offer any specifics other than to disclose that federal investigators would review whether they contained classified information.

“In connection with an unrelated case, the FBI has learned of the existence of emails that appear to be pertinent to the investigation,” Comey wrote. “I agreed that the FBI should take appropriate investigative steps designed to allow investigators to review these emails to determine whether they contain classified information, as well as to assess their importance to our investigation.”

In July, Comey announced that the bureau had closed its investigation into Clinton’s emails and recommended prosecutors not seek charges in the case. But Comey rebuked Clinton and her aides for the “extremely careless” manner in which the emails were handled.

Clinton told reporters that she and her team had been given no advance warning and learned of the email investigation through news reports when Comey’s letter was made public. But seeking to mitigate the political ramifications of the announcement, which was immediately seized upon by her Republican opponent, Clinton urged the FBI to provide a clearer picture of its findings.

“Even director Comey noted that this new information may not be significant, so let’s get it out,” Clinton said, adding she had not been contacted by the FBI in relation to the matter.

estranged wife, Huma Abedin, a top aide to Clinton. Weiner, a former congressman from New York, has been the subject of an unrelated investigation after it was revealed he sent illicit messages and photos to an underage girl.

Clinton would not confirm the link to Weiner and Abedin, who remains with her on the campaign trail, stating: “We’ve heard these rumors. We don’t know what to believe.

“That’s why it is incumbent upon the FBI to tell us what they’re talking about. Right now your guess is as good as mine, and I don’t think that’s good enough.”

“We’ve made it very clear that if they’re going to be sending this kind of letter that is only going originally to Republican members of the House, that they need to share whatever facts they claim to have with the American people,” she added, “and that’s what I expect to happen.” The letter was sent to both Republican and Democratic leaders of relevant committees in Congress.



A letter sent by Comey to his employees on Friday, and reported by the Washington Post, provided a glimpse into his thinking. The FBI director said he “felt an obligation” to inform Congress of the new review, based on his prior testimony before federal lawmakers that the investigation into Clinton’s emails was complete.
“At the same time, however, given that we don’t know the significance of this newly discovered collection of emails, I don’t want to create a misleading impression,” Comey wrote.

Clinton has been dogged by questions over the use of her private email server since it was discovered weeks before she formally launched her presidential bid, and polling suggests the controversy has damaged her image among voters. Just 34% of Americans find Clinton honest and trustworthy, according to a recent Washington Post-ABC poll.

Sensing an opportunity to revive the email controversy despite the FBI’s vaguely worded statement, the Republican presidential nominee, Donald Trump said during a rally in New Hampshire on Friday: “Hillary Clinton’s corruption is on a scale we have never seen before – we must not let her take her criminal scheme into the Oval Office.” At a later rally in Lisbon, Maine, he called her use of private emails the “biggest political scandal since Watergate”.

At a later rally in Cedar Rapids, Iowa, he abandoned his weeks of accusing the FBI of collusion with the Clinton campaign. “I give them great credit for having the courage to right this horrible wrong,” he said. “Justice will prevail.”

“When coupled with the acknowledgment that more information will take an indeterminate period of time, it is difficult to see how this latest departure from department policy has served the public interest.”

Stephanie Schriock, the president of Emily’s List, a group that works to elect pro-choice Democratic women to public office, said the developments “have sent Republicans into an ignorant and irresponsible frenzy”.

“That is why director Comey must release all of the facts – anything less is just fodder for Donald Trump’s rightwing smear machine,” she said in a statement.

Some top Clinton surrogates did, however, refrain from wading into the issue for now.

Speaking with CNN on Friday, vice-president Joe Biden simply offered: “Oh God. Anthony Weiner. I should not comment on Anthony Weiner. I’m not a big fan.”
 
The Clintons are so shady!
There is just a lot of corruption and lies including pay to play schemes. Hillary's husband private meeting with AG on an airport tarmac while Hillary was a subject of investigation speaks volume.

Hillary has not being investigated the same way other people with same case have been investigated. I think there is a lot of discontent within the FBI that the original investigation was mishandled.

May be the FBI should open an investigation on the Clinton Foundation.
 
Siasa za marekani zimepoteza 'credibility' kwa sababu kuna mgombea wa Urais wa chama cha Dem. ambaye anapaswa kuwa gerezani na sio kuzunguka kufanya kampeni. Kuna wananchi wengi waliofanya makosa madogo kuliko yeye na maisha yao yamekuwa mabaya huku wengine wakitumikia vifungo gerezani. FBI wanachofanya ni kujihami, ndio maana wametoa hiyo barua kabla ya tarehe 11/8.

Hillary anajua kwamba James Comey hawezi kuanika hizo taarifa alizozipata mbele za watu kutokana na utaratibu wa DOJ kumzuia kufanya hivyo. Hillary hakupaswa kugombea Urais.

Hufahamu kwamba kuna Blue states na Red states na kuna battleground states?

Ukweli utajulikana, na Hillary aliendesha uchangishaji wa fedha zaidi ya $500,000 alizopewa mke wa Afisa wa FBI aliyesimamia upelelezi wake kuhusiana na matumizi ya e-mail server ya binafsi.

Clinton Ally Aided Campaign of FBI Official’s Wife

There is a lot of cover ups and she used BleachBit to wipe her server and destroyed her electronic devices. That should prove intent.

Yes uko sawa kabisa mkuu.

Lakini unafikiri FBI hawafahamu yote hayo?

Wao wanazo zile server za kwanza kabisa ziliyofungwa na Justine Cooper mwaka 2008 na ile ilofungwa na Bryan Pagliano mwaka huohuo.

Ndiyo kazi yao imelalia hapo.
 
Yes uko sawa kabisa mkuu.

Lakini unafikiri FBI hawafahamu yote hayo?

Wao wanazo zile server za kwanza kabisa ziliyofungwa na Justine Cooper mwaka 2008 na ile ilofungwa na Bryan Pagliano mwaka huohuo.

Ndiyo kazi yao imelalia hapo.
Do you know for sure what information FBI does or doesn't have?
 
Comey was the United States Deputy Attorney General from December 2003 to August 2005, serving in President George W. Bush's administration. ... In September 2013, Comey was appointed Director of the FBI by President Barack Obama.

Comey and his wife Patrice are the parents of five children. He is a Roman Catholic of Irish descent. Comey is a registered Republican who donated to U.S. Senator John McCain's campaign in the 2008 presidential election and to Governor Mitt Romney's campaign in 2012 presidential election.

kui I am very impressed with your condidence on the outcome of this coming election. I am worried especially by those who are still on the fence doing Hillary/Trump Hillary/Trump Hillary/Trump before making their final decision on who to vote for. Obama must be very mad to promote Comey to a higher position. Once a snake always a snake.
Lets not forget sir, after being nominated by Pres. Obama, James Comey was confirmed as the Director of FBI in 2013 by a Democratic majority at the Senate.

What you are insinuating that Comey might be working in favour of Republicans is not true because despite all the evidences to the contrary pertaining to the original investigation of HRC, to a surprise of many, he concluded there were no charges.

So now you call him a 'snake' because he is doing what many would say it's the right thing. I can be sure when he didn't recommend indictment for Hillary you probably cheered. Now the table is turned and she is being roasted, I can understand your emotions.

Don't just worry about the undecided voters who will most likely make up their minds in favour of Trump, you should also worry about the people who decided they'll vote for Hillary because she was not indicted after the original investigation.
 
Back
Top Bottom