2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Tatizo lako la kuandika vitu kwa dhana eti naandika huku nimekunja uso Hahahahaha lol! Ungekutana na mtu anayenifahamu mimi na kumwambia mimi ni mtu wa kukunjakunja uso angekushangaa sana na kukwambia labda unamuongelea mtu mwingine si huyu ninayemfahamu.

Pamoja na weusi na Latino kutokuwa wengi, lakini unapopata 90% ya kura za weusi na Latino na labda 55% ya kura za wazungu KAMWE huwezi kushindwa kwenye uchaguzi.

Huwezi kutegemea kilichotokea kwenye primary election ya GOP kutokea tena kwenye general elections. Jaribu kufuatilia CNN au kwingineko ili uelewe badala ya kukurupuka. Haijawahi kutokea katika historia ya chaguzi za Marekani mgombea kupingwa na watu wa chama chake kama anavyopingwa Trump.

Fuatilia ili uelewe kinachoendelea.

Washington Post: Breaking News, World, US, DC News & Analysis › the-fix
Mobile-friendly - Aug 28, 2013 -Ninety-three percent of black voters supported President Obama in 2012, exit poll data show. By comparison, just 39 percent of white voters supported a second term for the president.

Latino Voters in the 2012 Election.
Obama 71%; Romney 27%
By Mark Hugo Lopez and Paul Taylor.
Latinos voted for President Barack Obama over Republican Mitt Romney by 71% to 27%, according to an analysis of exit polls by the Pew Hispanic Center, a Project of the Pew Research Center.Nov 7, 2012

Ungenisoma ungenielewa, ila kwa sababu ya tabia zako za kuandika maoni ukiwa umekunja uso katu huwezi kuwa tayari kupokea mawazo yanayokinzana na ukitakacho.
Unaposema kwamba. Unapoyaandika hayo unayoyaandika hayo uliyoyaandika umepata kujiuliza kuhusu population ya ha watu weusi ipoje? na hao watu weusi unaowaonglea unataka kutuambia kwamba lao ni moja and they are not divided? Swali la msingi ni kwamba kama hana huo uwezo unadhani amefikaje hapo alipofika wakati nguvu kubwa sana ilitumika kumuangusha kwenye primaries.
Kunjua sura ili usikilize, usome na urespond maoni ya wengine ukiwa kati hali ya flexibility mkuu. Otherwise unajitahidi vizuri kuwasilisha kile unachokiamini kasoro kubwa una hard feelings juu ya watu wasiokubaliana nawe.
 
Tatizo lako la kuandika vitu kwa dhana eti naandika huku nimekunja uso Hahahahaha lol! Ungekutana na mtu anayenifahamu mimi na kumwambia mimi ni mtu wa kukunjakunja uso angekushangaa sana na kukwambia labda unamuongelea mtu mwingine si huyu ninayemfahamu.

Pamoja na weusi na Latino kutokuwa wengi, lakini unapopata 90% ya kura za weusi na Latino na labda 55% ya kura za wazungu KAMWE huwezi kushindwa kwenye uchaguzi.

Huwezi kutegemea kilichotokea kwenye primary election ya GOP kutokea tena kwenye general elections. Jaribu kufuatilia CNN au kwingineko ili uelewe badala ya kukurupuka. Haijawahi kutokea katika historia ya chaguzi za Marekani mgombea kupingwa na watu wa chama chake kama anavyopingwa Trump.

Fuatilia ili uelewe kinachoendelea.
Swali la msingi ni amefikaje pale? maana kama kupingwa upinzani ulianza kwa kishindo tangu ndani ya Chama chake. Tufanye mimi sina uelewa and of course mimi si sehemu ya watu wanaweza kujiita waelewa so naomba tu unisaidia amefikaje pale wakati ndani ya Republican kulikuwa na wagombea wengi waliokuwa wakiungwa mkono na wanaopendwa kuliko Trump. Naomba unisaidie hapo tu, huwa sijisikii vizuri ninahisi nashindana na mtu mwenye uelewa, maana napoteza fursa ya wengine kuelewa na kujifunza kutoka kwake.
 
Viashiria vyote vinaashiria unachokiongea, lakini wote in mashahidi wa namna Trump alivyofika pale kila mchambuzi Wa siasa hakuweza kuona namna amnavyo Trump angefika alipo. Anachokifanya Trump kwa sasa ni kuwajaza kwanza. Yeye anamhitaji Clinton lakini wapambe ni wengi.
Anafanya hayo 'makosa' intentionally ili jamaa wajae halafu awalipue kwa lengo la kuwapunguza na baadaye abake yeye na Clinton. Clinton hana jipya, anategemea zaidi makosa ya Trump, na hapo ndipo anapokosea maana kwa Trump hata makosa kwake in stepping stone, hafanyi kitu kisicho na faida.
In suala la muda tu, the man is genius.
Nakubaliana na wewe and the man is Master plan
 
kwan hakuna vyama vingine vilivyosimamisha wagombea mpaka rais awe Trump au Hillary
 
Amefikaje pale!? Nimekwambia ungekuwa umefuatilia analysis ya kura za GOP primary elections ungeelewa amefikaje pale na kupata ushindi, kwanini anapingwa na wengi ndani ya GOP na sababu zipi zitamuangusha November 8, 2016.

Kama hukufuatilia hiyo analysis basi ni rahisi mno kukurupuka na kudhani kwamba kwa kuwa alishinda GOP's primary basi atashinda na uchaguzi Mkuu ujao.

Swali la msingi ni amefikaje pale? maana kama kupingwa upinzani ulianza kwa kishindo tangu ndani ya Chama chake. Tufanye mimi sina uelewa and of course mimi si sehemu ya watu wanaweza kujiita waelewa so naomba tu unisaidia amefikaje pale wakati ndani ya Republican kulikuwa na wagombea wengi waliokuwa wakiungwa mkono na wanaopendwa kuliko Trump. Naomba unisaidie hapo tu, huwa sijisikii vizuri ninahisi nashindana na mtu mwenye uelewa, maana napoteza fursa ya wengine kuelewa na kujifunza kutoka kwake.
 
Amefikaje pale!? Nimekwambia ungekuwa umefuatilia analysis ya kura za GOP primary elections ungeelewa amefikaje pale na kupata ushindi, kwanini anapingwa na wengi ndani ya GOP na sababu zipi zitamuangusha November 8, 2016.

Kama hukufuatilia hiyo analysis basi ni rahisi mno kukurupuka na kudhani kwamba kwa kuwa alishinga GOP's primary basi atashinda na uchaguzi Mkuu ujao.
Tangu ameanza ndani ya Republican sababu ni zile zile, na hata analyisis zilizotolewa kipindi kile hazikumpa nafasi ya kupeperusha bendela ya chama chake, lakini ameweza kuzi outsmart analysis zote hizo na sasa kumbuka uwanja umebaki kwa washindi wawili, Bi. Clinton na Bw. Trump.
Wote hawa kila mmoja anastahili heshima sawa na mwingine kwa kufika pale alipo, ingawa kuna tofauti kubwa kati yao, Clinton alijiandaa kwa muda mrefu sana na amekuwepo serikalini kwa nafasi nyeti wakati Trump bado ni very infant katika ulingo wa siasa, pia kila analysis ilimpa ushindi Clinton huku upande mwingine kila analysis ilimnyima ushindi Trump na kweli Clinto alishinda lakini Trump hakushindwa na sasa tumeanza tena upya na analysis zetu zile zile zinazotufariji na kutujaza matarajio.
Unaweza kuwa upo sawa lakini Trump si wa kumbeza hata kidogo, kwa matokeo yoyote yatakayokuja, Trump anastahili heshima kubwa.
 
Kwa taarifa yako Trump kwenye opinion polls za GOP primary elections zilimuonyesha akiwa mbele kwenye miezi yote with exception of very few. Sasa hivi opinion polls zinamuonyesha Hillary akiwa mbele kwa kati ya 10 to 13 points na uwezekano mkubwa wa gap kuongezeka zaidi kama Trump ataendelea kuvurunda.

Unadhani ni kwanini opinion polls zinaonyesha Trump kuwa nyuma tofauti na ilivyokuwa kwenye GOP primaries?

Tangu ameanza ndani ya Republican sababu ni zile zile, na hata analyisis zilizotolewa kipindi kile hazikumpa nafasi ya kupeperusha bendela ya chama chake, lakini ameweza kuzi outsmart analysis zote hizo na sasa kumbuka uwanja umebaki kwa washindi wawili, Bi. Clinton na Bw. Trump.
Wote hawa kila mmoja anastahili heshima sawa na mwingine kwa kufika pale alipo, ingawa kuna tofauti kubwa kati yao, Clinton alijiandaa kwa muda mrefu sana na amekuwepo serikalini kwa nafasi nyeti wakati Trump bado ni very infant katika ulingo wa siasa, pia kila analysis ilimpa ushindi Clinton huku upande mwingine kila analysis ilimnyima ushindi Trump na kweli Clinto alishinda lakini Trump hakushindwa na sasa tumeanza tena upya na analysis zetu zile zile zinazotufariji na kutujaza matarajio.
Unaweza kuwa upo sawa lakini Trump si wa kumbeza hata kidogo, kwa matokeo yoyote yatakayokuja, Trump anastahili heshima kubwa.
 
Kwa taarifa yako Trump kwenye opinion polls za GOP primary elections zilimuonyesha akiwa mbele kwenye miezi yote with exception of very few. Sasa hivi opinion polls zinamuonyesha Hillary akiwa mbele kwa kati ya 10 to 13 points na uwezekano mkubwa wa gap kuongezeka zaidi kama Trump ataendelea kuvurunda.

Unadhani ni kwanini opinion polls zinaonyesha Trump kuwa nyuma tofauti na ilivyokuwa kwenye GOP primaries?
Ndiyo maana nilikwambia tangu mapema kwamba, kinachombeba Hillary ni endorsement anayoipata, na kinachofanyika sasa ni 'intentional mistakes' kwa lengo moja tu...which is every bodies guess.
Muda si mrefu Hillary will be standing as helpless as an easy prey!
 
Uwezo wako wa kuelewa ni finyu sana. Hushangai hata ndani ya GOP chama ambacho Trump ni mgombea wao wako wengi tu wanampinga na baadhi kutamka hadharani kwamba watampigia kura Hillary!? Hushangai kwamba hizi endorsements anazopata Hillary kwanini haziendi kwa Trump na ilhali wote ni Wamarekani!?

Tafakari kwa kina Mkuu badala ya kukurupuka TRUMP HANA UWEZO WA KUWA RAIS NI HATARI KWA MAREKANI NA DUNIA PIA.

Ndiyo maana nilikwambia tangu mapema kwamba, kinachombeba Hillary ni endorsement anayoipata, na kinachofanyika sasa ni 'intentional mistakes' kwa lengo moja tu...which is every bodies guess.
Muda si mrefu Hillary will be standing as helpless as an easy prey!
 
Republicans flee Trump: drip, drip, drip

(CNN)Another day, another bunch of Republicans fleeing Donald Trump.
In what seems like a nearly daily occurrence, Republicans are bolting their party's nominee. But if not him, who? Some are going so far as to endorse Democratic rival Hillary Clinton; others, like Maine Sen. Susan Collins on Tuesday, are just saying they can't stomach supporting the GOP nominee.

Regardless, the large number of Republican defections would seem to help Clinton.
In some cases, the defections are clearly organized -- and even announced -- by the Clinton campaign. Other Republican defectors say they are acting independently of the campaign.
Last week, Rep. Adam Kinzinger of Illinois announced he will not back Trump, telling CNN's Wolf Blitzer: "I'm an American before I'm a Republican."

Read More
Kinzinger, however, will not vote for Clinton either. Instead, he may write in a candidate. He joins Mark Kirk, an Illinois senator, who in June withdrew his endorsement of Trump.
On Monday in the Washington Post and Tuesday on CNN, Collins, a moderate GOP senator, said she would not support Trump because he "does not reflect historical Republican values nor the inclusive approach to governing that is critical to healing the divisions in our country." She didn't say whom she'd vote for in November, but told CNN it won't be Clinton.
She, too, could take a look at the Libertarian ticket of former Republican governors Gary Johnson of New Mexico and William Weld of Massachusetts. Or, she could write in a candidate. Collins said she hasn't decided, but believes that Clinton's policies would bankrupt the country.

Read: GOP senator: 'I will not be voting for Donald Trump'
Also on Monday, 50 prominent Republican foreign policy and national security experts -- many veterans of George W. Bush's administration -- signed a letter denouncing Trump's candidacy and pledging not to vote for him. They include two former Homeland Security secretaries, Tom Ridge and Michael Chertoff, as well as former CIA and National Security Agency Director Michael Hayden.

One of those who signed the letter said the group had nothing to do with the Clinton campaign.
"I don't even know if they know about this. I'm doing this on my own volition," said James Jeffrey, a former US ambassador to Turkey and Iraq.

Read: 50 GOP national security experts oppose Trump
Other Republicans will swallow their distaste for Clinton and pull the lever for her.
One prominent Republican who is leaning toward Clinton is Jeb Bush's top adviser, Sally Bradshaw. She told CNN last week she was becoming an independent, and said if the presidential race in Florida is close, she'll vote for Hillary Clinton.
And Meg Whitman, who ran for California governor, said last week that she would donate to and vote for Clinton, joining an upstate New York Republican representative in supporting the rival candidate.

On Tuesday, two former administrators of the Environmental Protection Agency under Republican presidents endorsed Clinton, citing her plan to tackle climate change and Donald Trump's "profound ignorance of science." Those defections were announced by the Clinton campaign.
Read: Ex-EPA heads under Republicans back Clinton
The Clinton and Trump campaigns did not return requests for comment.
 
Poll: Clinton leading Trump in critical battlegrounds

Washington (CNN)Hillary Clinton has opened up commanding leads over Donald Trump in several critical battleground states, including North Carolina and Colorado, according to a new poll Friday.

Clinton leads Trump 46%-32% in Colorado, 44%-39% in Florida, 48%-39% in North Carolina and 46%-33% in Virginia, according to new NBC/Wall Street Journal/Marist polls.

The results represent increasing margins for Clinton in each of those four states, compared with polling conducted before the conventions and all the leads are outside each poll's margin of sampling error. The polls also tested four-way matchups including Gary Johnson and Jill Stein and found that the margin between Clinton and Trump holds when the third party candidates are included.
The polls were conducted between August 4 and this past Wednesday, a particularly bad post-convention stretch for Trump that found him embroiled in a fight with Khan family and making controversial comments about the Second Amendment and Hillary Clinton.

This most recent poll is similar to other surveys that have found Clinton on top in other battleground states, including Pennsylvania and Ohio.
 
WAMAREKANI watamchagua RAIS wanayemtaka..!
WAMAREKANI wanajua wanamuhitaji nani kama RAIS wao WAKATI huu..!!!
 
Leo nimeona Cnn, anaongoza poll Ohio. Na hiyo ni battle ground. Msile karamu kwanza, mambo bado.

Namchokoza Mag3
 
Back
Top Bottom