2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

THANK YOU!

...ofcoz he had fabulous starting and that gave me a big hope, but as soon as he started to overreact,lose his temperament stability and constantly interrupt clinton.. things seemingly turned into other way around.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Nafikiri sasa hivi kwenye kambi yao wamechanganyikiwa. Kuna baadhi bila shaka wanataka awalete akina Gennifer Flowers na Monica Lewinsky na wengine wakipinga lakini mwenye final say ni Trump. Ngoja tusubiri tuone watachukua muelekeo upi, lakini kama hatukuwaona au kuwasikia kwenye debate ya pili kisha afanye vibaya tena basi nadhani hata kabla ya debate ya tatu ataanza kuwatumia kwa fujo sana maana kupigwa chini katika debate mbili mfululizo na siku ndiyo zinazidi kuyoyoma lazima uje kiCOMMANDO ati!

Heheh!, eti over prepared.
Halafu naona next round he might go low, kama ulivyosema. Yesterday he mentioned about holding back some things about Clintons because he 'respects' Chelsea, and then may be, will let it out in the next one.

Amejeruhiwa, atarudi kama mbogo.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Very short but very precisely! That is Donald John Trump Sr.

The consequences of growing up as a spoilt brat, he is not used of being told off, what he knows is just how to tell people off.
 
Nafikiri sasa hivi kwenye kambi yao wamechanganyikiwa. Kuna baadhi bila shaka wanataka awalete akina Gennifer Flowers na Monica Lewinsky na wengine wakipinga lakini mwenye final say ni Trump. Ngoja tusubiri tuone watachukua muelekeo upi, lakini kama hatukuwaona au kuwasikia kwenye debate ya pili kisha afanye vibaya tena basi nadhani hata kabla ya debate ya tatu ataanza kuwatumia kwa fujo sana maana kupigwa chini katika debate mbili mfululizo na siku ndiyo zinazidi kuyoyoma lazima uje kiCOMMANDO ati!
Asijaribu kabisa,yule mama kajiandaa zaidi kwa yule bully Trump tuliyekuwa tunamjua wakati ule wa debate za Republican sio huyu wa jana asiyetukana na nina uhakika Trump kishaambiwa don't go there maana atawekwa panapotakiwa,Trump kisha fanyiwa kazi na big data analytics hana pa kutokea
 
  • Thanks
Reactions: kui
Nafikiri sasa hivi kwenye kambi yao wamechanganyikiwa. Kuna baadhi bila shaka wanataka awalete akina Gennifer Flowers na Monica Lewinsky na wengine wakipinga lakini mwenye final say ni Trump. Ngoja tusubiri tuone watachukua muelekeo upi, lakini kama hatukuwaona au kuwasikia kwenye debate ya pili kisha afanye vibaya tena basi nadhani hata kabla ya debate ya tatu ataanza kuwatumia kwa fujo sana maana kupigwa chini katika debate mbili mfululizo na siku ndiyo zinazidi kuyoyoma lazima uje kiCOMMANDO ati!


Tehe teh!, I can imagine ki Commando ya Trump. Itakuwa fujo tu, lakini akichemsha ataula.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
THANK YOU!
Lol... but i have an illation that Trump will decimate hillary in next debates after heavy blow to hillary in economic issue we saw in tuesday's debate.
 
Ok...Let's wait and see if Trump will be able to rectify his mistakes. See below the dates for the remaining 2 debates and 1 debate for VP.

Time – The debates will air from 9pm to 10:30pm ET (8pm – 9:30pm CT, 7pm – 8:30pm MT, 6pm – 7:30pm PT)

Sunday, October 9, 2016
Second presidential debate
Moderator: Martha Raddatz, Chief Global Affairs Correspondent and Co-Anchor of "This Week," ABC
Moderator: Anderson Cooper, Anchor, CNN
Location: Washington University in St. Louis, St. Louis, MO

Wednesday, October 19, 2016
Third presidential debate
Moderator: Chris Wallace, Anchor, Fox News Sunday
Location: University of Nevada, Las Vegas, Las Vegas, NV

Tuesday, October 4, 2016
Vice presidential debate
Moderator: Elaine Quijano, Anchor, CBSN and Correspondent, CBS News
Location: Longwood University, Farmville, VA


Lol... but i have an illation that Trump will decimate hillary in next debates after heavy blow to hillary in economic issue we saw in tuesday's debate.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Au pia anaweza kuingia mitini kwa kisingizio kwamba kuna upendeleo kwa Hillary. Baadhi ya wapambe wake wameshaanza kuongelea kuhusu kuingia mitini.

Giuliani: I'd skip next debates if I were Trump

Hivi na wewe kweli huwa unaamini amini hizo habari za kipuuzi?

Kweli kabisa unadhani anaweza kuchomoa hizo debates mbili zilizosalia?

Yalisemwa mengi mara ooh GOP watamtema kabla ya uchaguzi...mara sijui nini....

Things that are so far-fetched for any reasonable minded person to embrace.

Trump hawezi kuchomoa midahalo iliyobakia.

Such a decision just flies in the face of common sense and logic.

I will bet you my life he won't pull out nor skip.
 
Au pia anaweza kuingia mitini kwa kisingizio kwamba kuna upendeleo kwa Hillary. Baadhi ya wapambe wake wameshaanza kuongelea kuhusu kuingia mitini.

Giuliani: I'd skip next debates if I were Trump


Huyu Giuliani anataka kumponza mwenzie, nimeona ana suggest pia Trump should've brought up the Lewinsky issue.

Baadhi ya GOP watakuwa wameboreka sana na performance yake, watakuwa na wasiwasi kama anaweza fanya vizuri tena.
Trump si wa kwanza kuchemsha kwenye debate, kuna waliochemsha and were able to have a strong comeback. Swali ni, will he have a strong, civil and commandoo-like comeback?!
 
Nimeiona hiyo pia. Mambo ya Monica yalitokea more than 20 years ago hayahusu kitu kwenye kampeni za 2016. Ni dalili ya kushindwa sasa wanaanza kuhaha wakitafuta washike wapi. Kuna kambi mbili ndani ya Trump camp zinazopingana kuhusu kuwatumia Gennifer Flowers na Monica Lewinsky. Hao ambao wanataka kuwatumia hawa wadada wameshaanza kuongea hadharani wakati wale wanaopinga wanafanya hivyo nyuma ya pazia. Sijui ni kundi lipi litaibuka kidedea kuhusu kuwatumia hawa au la.

Kwa maoni yangu wakiwaleta hawa Hillary akiwa makini anaweza kujizolea point nyingi sana. Kwa kuadmit mapungufu ya mumewe na kwamba alishamuomba samahani miaka zaidi ya 20 iliyopita na they are still in love na hao Gennifer Flowers na Monica Lewinsky hawahusu chochote katika ndoa yao ya zaidi ya miaka 40 sasa.

Huyu Giuliani anataka kumponza mwenzie, nimeona ana suggest pia Trump should' ve brought up the Lewinsky issue.

Baadhi ya GOP watakuwa wameboreka sana na performance yake.
Trump si wa kwanza kuchemsha kwenye debate, kuna waliochemsha and were able to have a strong comeback. Swali ni, will he have a strong or a commandoo like comeback?!
 
Nimeiona hiyo pia. Mambo ya Monica yalitokea more than 20 years ago hayahusu kitu kwenye kampeni za 2016. Ni dalili ya kushindwa sasa wanaanza kuhaha wakitafuta washike wapi. Kuna kambi mbili ndani ya Trump camp zinazopingana kuhusu kuwatumia Gennifer Flowers na Monica Lewinsky. Hao ambao wanataka kuwatumia hawa wadada wameshaanza kuongea hadharani wakati wale wanaopinga wanafanya hivyo nyuma ya pazia. Sijui ni kundi lipi litaibuka kidedea kuhusu kuwatumia hawa au la.

Kwa maoni yangu wakiwaleta hawa Hillary akiwa makini anaweza kujizolea point nyingi sana. Kwa kuadmit mapungufu ya mumewe na kwamba alishamuomba samahani miaka zaidi ya 20 iliyopita na they are still in love na hao Gennifer Flowers na Monica Lewinsky hawahusu chochote katika ndoa yao ya zaidi ya miaka 40 sasa.


Naona kama watachemsha wakileta hii?
In any election, I think voters want to hear key issues and solutions to problems that's facing a country, and not about who slept with who 100 yrs ago.

Lakini na issues zake na wake zake na anavyo belittle wanawake zinaweza fufuliwa pia.
 
You're 100% right Kui, that will be a huge mistake and will destroy Trump's chances for good. I hope the voices of those who are against this strategy will prevail otherwise the famous quote, 'Desperate times call for desperate measures." will show its ugly face.

Naona kama watachemsha wakileta hii?
In any election, I think voters want to hear key issues and solutions to problems that's facing a country, and not about who slept with who 100 yrs ago.

Lakini na issues zake na wake zake na anavyo belittle wanawake zinaweza fufuliwa pia.
 
  • Thanks
Reactions: kui
2016 US Elections

Hongera mleta post, waliofuatilia mchango wako wamefaidika, na wengine tumefunuka, ila nakubaliana na wengi humu, wanachama wengi wa (R) hasa GOP, wamekosa fursa kubwa kuchukuwa nchi, labda walikuwa hawana candidates wa ukweli au Trump amewa trump wote, ushindi kwa (D) naona umekuwa dhahiri zaidi hasa baada ya nasi kuona debate yao ya kwanza, jamaa-Trump ni mdhalilishaji wa watu wa kike, of colour, maskini na wa kawaida, yaonekana haijuwi dunia nyingine zaidi anayoishi, ubabe na majigambo, pia hili swala la kodi, laonekana litamyumbisha sana, najiuliza yale majigambo kwenye reality tv yake yalikuwa kanyabwoya au?! Anakiri kabisa kuwa yeye mjanja kwa kukwepa kodi! Sasa kwa wananchi wa kawaida labda waweza sema hivyo lakini sio unapotaka kuwa raisi, pia yaonekana kule kumkatisha katisha Clinton kwa maneno kama wrong au kukatisha tu sentensi za mwenzake yaonekana huyu bwana hakuwa prepared na kuna mashaka mashaka na data alizopewa, kifupi hata data na research za nchi anayotaka endesha haijuwi...well done
 
You're 100% right Kui, that will be a huge mistake and will destroy Trump's chances for good. I hope the voices of those who are against this strategy will prevail otherwise the famous quote, 'Desperate times call for desperate measures." will show its ugly face.


Yap!, I second this, when desperate times call for desperate measures, we will see all true colors of the Donald.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante sana Mkuu huyu jamaa sijui tuseme ndiyo bahati au sijui kitu gani. Tangu kwenye GOP primaries amesema mengi sana ambayo yalistahili kabisa kwa yeye kuangushwa na hivyo kutopata nomination ya GOP lakini amekuwa akiwashangaza political pundits ambao hwakumpa nafasi kabisa kutokana na wanavyomfahamu na pia kutokana na kutokuwa na uzoefu katika uwanja wa siasa.

Wengi tunaomba Mungu Hillary amsimamishe huyu aishie kuiona WH kwa nje tu au kwa ndani kama mwalikwa kwa masaa machache, vinginevyo ataiharibu sana Marekani na dunia nzima kutokana na mihemuko yake ya kustaajabisha na dharau kubwa aliyokuwa nayo kwa wale ambao si wazungu wakiwemo pia wanawake wa kizungu ambao amewaita majina mbali mbali ya kuwadhalilisha.

Hongera mleta post, waliofuatilia mchango wako wamefaidika, na wengine tumefunuka, ila nakubaliana na wengi humu, wanachama wengi wa (R) hasa GOP, wamekosa fursa kubwa kuchukuwa nchi, labda walikuwa hawana candidates wa ukweli au Trump amewa trump wote, ushindi kwa (D) naona umekuwa dhahiri zaidi hasa baada ya nasi kuona debate yao ya kwanza, jamaa-Trump ni mdhalilishaji wa watu wa kike, of colour, maskini na wa kawaida, yaonekana haijuwi dunia nyingine zaidi anayoishi, ubabe na majigambo, pia hili swala la kodi, laonekana litamyumbisha sana, najiuliza yale majigambo kwenye reality tv yake yalikuwa kanyabwoya au?! Anakiri kabisa kuwa yeye mjanja kwa kukwepa kodi! Sasa kwa wananchi wa kawaida labda waweza sema hivyo lakini sio unapotaka kuwa raisi, pia yaonekana kule kumkatisha katisha Clinton kwa maneno kama wrong au kukatisha tu sentensi za mwenzake yaonekana huyu bwana hakuwa prepared na kuna mashaka mashaka na data alizopewa, kifupi hata data na research za nchi anayotaka endesha haijuwi...well done
 
  • Thanks
Reactions: kui
14448883_10154352935657911_5383744094927953689_n.jpg
 
  • Thanks
Reactions: kui


Trump na wanawake.
There's a thin line between love and hate, between Trump and women.
Juzi alisema Hillary doesn't have a 'look' and stamina to be President.

Hii hapa chini ni quote alivyomsema former Presidential candidate Carly Fiorina.

.."When the anchor throws to Carly Fiorina for her reaction to Trump's momentum, Trump's expression sours in schoolboy disgust as the camera bores in on Fiorina. 'Look at that face!' he cries. 'Would anyone vote for that? Can you imagine that, the face of our next president?!'...Ni looks gani Trump anaona bora zaidi kwa Wwake?

His beef with Rose O'Donnell was on again the other day, on top of terrible things he has said about her. From, looking at her 'fat ugly face' and fire her, to,..."she ate like a pig" at his wedding.
I can't believe some of the things Trump has said about women.

http://www.cnn.com/2016/09/27/politics/donald-trump-women-problems/index.html
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom