Rais awe kijana.Wazee wengi wa Tanzania wana mawazo mgando.
Kwa mfano, umoja/baraza la vijana, wanawake, wazazi ... haya yote ni mawazo ya nani? Nani aliamua miundo hii ya vyama?
So, obsolete!!! kila chama kinafuata miundo ya kizamani sana.
UKITAKA KUFANYA KITU UNAAMBIWA WAZEE WA CHAMA WAMEKATAA.
Ni wakati muafaka wazee wakae pembeni, hakuna mzee mwanasiasa mwenye jambo jipya, wote walikuwa kwenye system na wameshaharibu. Wakae pembeni.
Zitto Zuberi Kabwe.[Nani huyo kijana unayetaka awe rais?
Zitto Zuberi Kabwe.
Mimi naamini hata umri wa kikomo ni muhimu, kuna mahali nilisikia mwalimu wakati anang'atuka watu walishaanza kumuita hambiliki (hashauriki) na alikuwa mkali kwa kuitwa jina hili.
Rais awe kijana.Wazee wengi wa Tanzania wana mawazo mgando.
Kwa mfano, umoja/baraza la vijana, wanawake, wazazi ... haya yote ni mawazo ya nani? Nani aliamua miundo hii ya vyama?
So, obsolete!!! kila chama kinafuata miundo ya kizamani sana.
UKITAKA KUFANYA KITU UNAAMBIWA WAZEE WA CHAMA WAMEKATAA.
Ni wakati muafaka wazee wakae pembeni, hakuna mzee mwanasiasa mwenye jambo jipya, wote walikuwa kwenye system na wameshaharibu. Wakae pembeni.
Utanisamehe mkuu, sikujua kama mleta uzi kama alitarajia audience ya "wasomaji wa riwaya" pekee!
Ila naomba kuchangia tu kidogo kwenye ulichoandika kisha ntawaachia nyie 'wataalamu wa usomaji riwaya' kuchangia zaidi.
Anyways,Kwa hiyo kwako wewe 'msomaji wa riwaya' hapo kwenye bluu maana yake ni 'Rais mzee' au?!
Hebu jaribu kwenda kinyume cha unavyotafsiri uone kama itakataa!!
Halafu unajua mkuu, uwezo wa kutafsiri maana ya ndani katika habari ni "subjective" sio "objective"
ila kwa kuwa Mwanakijiji yupo humu ni vema ukamuuliza, bila kujaribu kulazimisha maana yako ambayo
kwa vyovyote vile inaendana na uelewa wako, na kama ujuavyo uelewa wetu ni tofauti, tena tofauti sana.
Kwangu mimi naona kaongelea Uwezo bila kujali Umri, sasa kwa kuwa nyie 'wataalamu wa kusoma riwaya' huwa mnatengeneza 'picha' zenu 'akilini' kutokana na 'utunzi' husika, mnaruhusiwa kuona vinginevyo!
"Ujana" si tija. Umri ni kwa ajili ya eligibility tu. Hauhuusiani na uwezo wa uongozi. Hata mtu wa miaka 70 anaweza kuwa na u wezo mkubwa wa kufanya kazi ambazo zinahitaji akili zaidi kuliko mtu wa miaka 40. Lakini kama ana miaka 70 na bado ana nguvu za mwili kwanini asipewe nafasi hiyo? Wengi wetu baba zetu ndio wamefika miaka 70 hivi unafikiri kweli tunaweza kusema hawafai kufanya kazi yoyote inayohitaji hekima na uwezo wao wa kiakili?
Ninachojengea hoja hapa ni kuweka suala la umri kwenye context sahihi. Haiwezekani mtu aseme "tunahitaji viongozi vijana" au "sasa ni zamu ya vijana" halafu watu wakashangilia? Kwanini tunataka viongozi wanyanyua vyuma ili vijana washinde kirahisi?
Mimi nakubaliana kabisa na unachosema ila mwanakijiji hamaniishi hivyo, yupo kwenye kampeni! soma maneno ya mwanakijiji hapa nanukuu "Unafikiri alikuwa anaitwa "haambiliki" kwa sababu ya uzee? Unajua Nyerere aliacha Urais akiwa na miaka mingapi? Kukupa taarifa tu alikuwa na miaka 63. Michael Sata wa Zambia ana miaka 74, Mwai Kibaki 80, Truman alipoapishwa alikuwa 60 na Regan 69!!! think about it.. Rais kijana Marekani kuapishwa alikuwa ni T. Roosevelt akiwa na miaka 42 na mzee zaidi akiwa ni Regan! Marekani kwa miaka yote na marais 44 imewahi kuwa na marais 2 waliokuwa chini ya miaka 45!! And its doing just fine."
Chama
Gongo la mboto DSM
Bob Lee Swagger;
Jifunze kusoma riwaya ndipo utaelewa maandiko ya mwanakijiji; mbona haji yeye mwenyewe kukanusha?
Chama
Gongo la mboto DSM
Wazo la leo: Tanzania haiitaji Rais kijana... kwani tunapeleka Ikulu mbeba vyuma au mtunisha misuli au atakuwa na kazi ya kupiga push ups ofisini? Na hatuwezi kumkataa mtu kwa sababu ni mzee kwani anaenda kubebeshwa viroba vya mchele au kukimbia marathon? Tena hata hatuhitaji Rais msomi wa kivile! Mwaka 2015 Watanzania wanahitaji Rais ambaye atavunjilia mbali sera zilizoshindwa za CCM, kuifumua mifumo mibovu ya kiutawala iliyodumu kwa miaka karibu hamsini sasa na kutupa uongozi wa kutufanya tujiamini kuwa tunaweza na akatuongoza katika kujenga taifa la kisasa lenye kujali utu wa watu na siyo vitu vya watu.
Tunahitaji rais na pamoja naye viongozi wenye UWEZO wa kufikiri kwa usahihi, kuamua kwa usahihi na kutenda kwa usahihi wakitambua dhamana ya uongozi ambao taifa linawapa. RAIS ajaye wa Tanzania ni lazima awe na UWEZO; UMRI wake usihusishwe kabisa na uwezo huo.
Kiongozi ajaye basi ni lazima we ni MTU WA WATU; ambaye amejitofuatisha katika mambo makubwa yafuatayo: Wazo hili litaendelea...
FACEBOOK YANGU
hahahaha hahahahah umenifurahisha mkuu.
Asante sana, ninachukua ushauri wako.
Unafikiri alikuwa anaitwa "haambiliki" kwa sababu ya uzee? Unajua Nyerere aliacha Urais akiwa na miaka mingapi? Kukupa taarifa tu alikuwa na miaka 63. Michael Sata wa Zambia ana miaka 74, Mwai Kibaki 80, Truman alipoapishwa alikuwa 60 na Regan 69!!! think about it.. Rais kijana Marekani kuapishwa alikuwa ni T. Roosevelt akiwa na miaka 42 na mzee zaidi akiwa ni Regan! Marekani kwa miaka yote na marais 44 imewahi kuwa na marais 2 waliokuwa chini ya miaka 45!! And its doing just fine.
Nimeipenda sana hii hoja, kikubwa ni uwezo!. Endeleeni kuweka vigezo tena with elimination strategies, at the end of the day, tutarudi kule kule kwa the "good ones" who are capable, piga ua galagaza, mwisho wa siku tutagota mule mule!.
Huwezi kuzuia upepo!. Mgombea wetu ni magma ya moto, saa hizi imeanza kutokota kidogo tuu, watu wanaweweseka!, jee itakapo chemka ni nini kitafuatia... ni eruption tuu!, nothing more, nothing less!, 2015 rais wa ukweli tunae na ni ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!.
Tumechoka na wagombea urais wa mazoea na ahadi, sasa tunataka mgombea sio tuu mwenye uwezo, bali pia mwenye mission na vision anataka kulitoa taifa letu hapa lilipo, atatupeleka wapi na strategies za kuimplement hiyo mission ili kuifikia hiyo vision in reality na sio ahadi hewa!. Mtu wa namna hii tunaye its only the matter of time!.
Easy,Unafikiri hawa wazee waliibuka tu wakiwa na mvi? unawaona wazee waliingia na kupewa nafasi mbalimbali wakiwa vijana!! Wote unaowaita wazee leo ukirudi kati ya 1964-1972 walipoingizwa kwenye utumishi wa umma wengi walikuwa ndio "vijana" wa wakati huo!!! Kwanini unafikiri vijana wa "sasa" watakuwa na tofauti?