JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..CCM wakimsimamisha huyu mama, na CDM wakamsimamisha Zitto, basi ushindi unakwenda kwa CCM.
..wale wana CCM kama Salim Salim, na Joseph Warioba, wanaompa kichwa Zitto Kabwe, wote watamkimbia siku akipambanishwa na Dr. Migiro.
..wananchi CDM wanafanya makosa kum-underestimate huyu mama. In my opinion she has the capacity to come across as more seasoned, reasonable, and articulate, than Zitto Kabwe.
..hoja ambayo ingeweza kumsaidia Zitto ni vita dhidi ya ufisadi. Tatizo ni kwamba Zitto ameshindwa kujipambanua kama mpambanaji wa kweli, asiyetiliwa mashaka yoyote, wa vita dhidi ya ufisadi.
..wale wana CCM kama Salim Salim, na Joseph Warioba, wanaompa kichwa Zitto Kabwe, wote watamkimbia siku akipambanishwa na Dr. Migiro.
..wananchi CDM wanafanya makosa kum-underestimate huyu mama. In my opinion she has the capacity to come across as more seasoned, reasonable, and articulate, than Zitto Kabwe.
..hoja ambayo ingeweza kumsaidia Zitto ni vita dhidi ya ufisadi. Tatizo ni kwamba Zitto ameshindwa kujipambanua kama mpambanaji wa kweli, asiyetiliwa mashaka yoyote, wa vita dhidi ya ufisadi.