2015 mbali sana jamani!!!!

BIG X

JF-Expert Member
Nov 4, 2011
777
212
Maisha ni magumu sana, ukiangalia mbali ndio unachoka kabisa. huu ugumu kwa asilimia kubwa unasababishwa na viongozi wetu wa siasa tulionao sasa. Jamani naona 2015 mbali sana, tutafika kweli, tuwang'oe nadhani nimeshawachoka kupita kiasi!!, miaka mitatu iliyobaki naona kama miaka 100!!, duh!!!.
 
Reactions: GIB
Si mbali sana, tutawang'oa tu. lakini jinsi watz tulivyokuwa ........ tutawarudisha hao hao.
 
Ninavyochukia cheat-chit-chat halafu ndio mmeamishia huku. nakula zangu kona mie. Loh!! na-sign-out.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…