Huey freeman
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 593
- 248
TANZANIA INAONGOZWA KIDIKTETA? Kama Ndio Dikteta ni nani?
Ukituuliza watu wa Mtwara na Lindi jibu ni Ndioooooooooo... Na dicteta ni Shemeji Yetu, yaani Kaka yao wao. Ama kweli wakwe zake hatueshimu.. Dada rudi nyumbani mwache Aishi peke yake. Huku kuna ugali wa muhogo,chamaki nchanga na makopa na vyakula vingi vya asili.
Dada huku ndio kwenu... UDIKTETA WA SHEMEJI.... Shemeji na ndugu zake kwa makusudi wamevunja katiba na kuiongoza mikoa tajwa kiudikiteta kama ifuatavyo.........
1. Katika mikoa hiyo ni marufuku mtu kutoa maoni au kuhoji juu ya rasilimali za Nchi na manufaa yake kwa jamii inayozunguka mfano GECHI, usiseme gesi UTANYEA DEBE. Katiba inaseama wazi kwa kila mtu anayo haki ya kutoa maoni na kuhoji juu ya Raslimali za Nchi.. Vipi shemeji Na Ndugu zako mvunje katiba kwa manufaa yao?
2. Marufuku kuendesha Mikutano ya kisiasa.. Iko wapi Demokrasia TZ. Kama nyie mnafurahia shaghuli za kisiasa Sie twasikiliza Kwenye Vyombo vya Habari tu miaka yakatika hakuna ruhusa hata mkutano wa siasa ngazi ya kitongoji.. Umuhimu wa vyama vingi uko wapi?
Je INTARAHAMWE hawataki kukosolewa juu ya Matendo yao? KIONGOZI WA CHAMA AMEDHALILISHWA KWA HILI.
Kiongozi wa CHADEMA alikwenda kuomba kwa serikali kuruhusiwa kwa mikutano ya kisiasa ktk mikoa hii... Gazeti moja la serikali Likaandika KIONGOZI MKUBWA WA CHADEMA ASALIM AMRI AIANGUKIA CCM hawa waandishi WAPUMBAVU kwa hiyo mnafurahi Ss kuongozwa Kidkteta? Yeye hakwenda kuiomba CCM bali serikali... UJUMBE KWA SHEMEJI na NDUGUZE.
Haki ya mtu hapokonyeki bali hucheleweshwa tu. Zungukeni 2015 Msije huku kujifanya Mnapiga Kampeni MARUFUKU CCM WANANCHI WA LINDI NA MTWARA TUAMKE TWALALA KAMA PONO. Kwa hili tusiwe wapumbavu Muda umefika wa kusema BAI BAI C.C.M wametukandamiza vya Kutosha.
Ukituuliza watu wa Mtwara na Lindi jibu ni Ndioooooooooo... Na dicteta ni Shemeji Yetu, yaani Kaka yao wao. Ama kweli wakwe zake hatueshimu.. Dada rudi nyumbani mwache Aishi peke yake. Huku kuna ugali wa muhogo,chamaki nchanga na makopa na vyakula vingi vya asili.
Dada huku ndio kwenu... UDIKTETA WA SHEMEJI.... Shemeji na ndugu zake kwa makusudi wamevunja katiba na kuiongoza mikoa tajwa kiudikiteta kama ifuatavyo.........
1. Katika mikoa hiyo ni marufuku mtu kutoa maoni au kuhoji juu ya rasilimali za Nchi na manufaa yake kwa jamii inayozunguka mfano GECHI, usiseme gesi UTANYEA DEBE. Katiba inaseama wazi kwa kila mtu anayo haki ya kutoa maoni na kuhoji juu ya Raslimali za Nchi.. Vipi shemeji Na Ndugu zako mvunje katiba kwa manufaa yao?
2. Marufuku kuendesha Mikutano ya kisiasa.. Iko wapi Demokrasia TZ. Kama nyie mnafurahia shaghuli za kisiasa Sie twasikiliza Kwenye Vyombo vya Habari tu miaka yakatika hakuna ruhusa hata mkutano wa siasa ngazi ya kitongoji.. Umuhimu wa vyama vingi uko wapi?
Je INTARAHAMWE hawataki kukosolewa juu ya Matendo yao? KIONGOZI WA CHAMA AMEDHALILISHWA KWA HILI.
Kiongozi wa CHADEMA alikwenda kuomba kwa serikali kuruhusiwa kwa mikutano ya kisiasa ktk mikoa hii... Gazeti moja la serikali Likaandika KIONGOZI MKUBWA WA CHADEMA ASALIM AMRI AIANGUKIA CCM hawa waandishi WAPUMBAVU kwa hiyo mnafurahi Ss kuongozwa Kidkteta? Yeye hakwenda kuiomba CCM bali serikali... UJUMBE KWA SHEMEJI na NDUGUZE.
Haki ya mtu hapokonyeki bali hucheleweshwa tu. Zungukeni 2015 Msije huku kujifanya Mnapiga Kampeni MARUFUKU CCM WANANCHI WA LINDI NA MTWARA TUAMKE TWALALA KAMA PONO. Kwa hili tusiwe wapumbavu Muda umefika wa kusema BAI BAI C.C.M wametukandamiza vya Kutosha.