ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,974
Kwa tafsiri yako basi hakujapata bado mpaka sasa CCM kuwa na mgombea urais kama ilivyokuwa mwaka 1995.
Bado hatuna wagombea wa urais waliotisha kama Mrema na Seif Sharrif Hamad wa 1995, bado ile level ya upinzani ya mwaka 1995 haijafikiwa bado.Seif wa sasa sio yule wa 1995.
Vyovyote mtu anavyoweza kujifariji lakini ukweli ni kuwa UKAWA ya 2015 bado ni dhaifu sana kuliko Mrema wa 1995 bara na Seif Sharrif Hamad wa 1995 Zanzibar.
Sijui tutaupata lini tena uchaguzi ulioiogopesha CCM kama ule, CCM isipogawanyika na vita vya urais mwaka huu basi uchaguzi wa mwaka huu CCM itakuwa inaenda ikiwa na uhakika kuliko ilivyokuwa 1995.
Huo ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli.
We nadhani akili zako hazina akili that is ur wishes not the reality pole.sana kapwela