theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,732
Baada ya kufukuzwa udsm hakurudi pale alienda kuanza shule upya pale sua nahisi alisoma kati ya kozi zifuatazo sociology, AEA au ualimu.Kwa hiyo alihitimu sua au udsm?
Alihitimu SUA, udsm alifukuzwa....SUA pia aligombea urais wa chuo Japo hakufanikwa kupataKwa hiyo alihitimu sua au udsm?
Huwezi nipangia namna ya kuandika,fuatilia mambo yako,nitaandika kwa namna ninavyotaka,mpuuzi niyule anayehangaika na miandiko ya watu
Baada ya kufukuzwa udsm hakurudi pale alienda kuanza shule upya pale sua nahisi alisomea kati ya kozi zifuatazo sociology, AEA au ualimu.
Na pia alikuwa RAIS wa serikali ya wanafunzi wa SUA ( SUASO)
Ooh ahsanteAlihitimu SUA, udsm alifukuzwa....SUA pia aligombea urais wa chuo Japo hakufanikwa kupata
Yeah nikweli mkuu, madogo walisuffer sanaIlikua hivi, mwaka wa kwanza 2011, walipangiwa chuo wengi wao wakikosa mikopo. Kwa hiyo baada ya muda wengine wakaanza kuacha masomo kwa ugumu wa maisha na kushindwa kulipa ada.
Wakati huo wote kulikua kikundi cha watu wachache waliokua wanajiita ama kuitwa wanaharakati, muda wote walikua wakifanya jitihada na kuwasiliana na uongozi wa chuo (DARUSO) ili vijana wa mwaka wa kwanza wapewe mikopo wote.
Juhudi hizi zilipogonga mwamba sasa ndio inakuja option ya mwisho ya kuandaa mgomo ambapo vijana wanaanza kuandamana sasa.
Anataka tuharibiane weekend tu,na watu kama hawa unakuta katika familia ya watu 9 pekee ndo angalau amefika hatua fulani ya shule,Sasa namna anavyowapelekesha ndugu zake huko analeta JFHuyo mdau anakudai nini[emoji13]
Kumbe JF tunachat na watoto makinda/mlenda wenye kunukia maziwa badoMimi sijasema.
Ila UD nilijiunga 2010 na nilikutana na masekeseke sana.
Na masekeseke nilianza nayo secondary, kama unakumbuka 2008-2010 shule nyingi zilikuwa na fujo sana.
Karibuuu......Ooh ahsante
Huu mwaka sitausahau pale mlimani.
Washikaji zetu ,Christopher mbusule, Lusako ,Ndunguru na wengine wengi tu walipoteza chuo.
Mlimani city ilikuwa jumba la maficho . Tulikimbia tukajificha kwenye maduka. Wale jamaa walikuja na hasira kama za simba wakitutafuta.
Poleni sana washikaji wote mliopoteza chuo kipindi Hicho. Harakati zenu zilifanyika neema kwa wengine.
Mungu bado anatupigania . Siku zimepita na maisha yanaendelea.
Saizi levo sikwea sidhani kama ipo tena maana hawa waliopitia Jkt wamekuwa kama mlenda
Revolution squareRev Square
Kumbe JF tunachat na watoto makinda/mlenda wenye kunukia maziwa bado
Kweli kabisa.. nakumbuka mwaka 2008 njaa ilisababisha tukagawiwa chai na maharage Kama dinner kisa shule haikuwa na unga wa kupika ugali...Kipindi hicho shule nyingi zilikuwa zinakabiliwa na baa la njaa, kama kumbukumbu ziko sawa kipindi hicho wazabuni waligoma kwa sababu serikali ilikuwa haijawalipa kwa muda mrefu, baadhi ya shule zilifikia hatua ya kufungwa kwa ukosefu wa chakula
Chai na maharage kama dinner bado unasema ilikuwa shida sana?Kweli kabisa.. nakumbuka mwaka 2008 njaa ilisababisha tukagawiwa chai na maharage Kama dinner kisa shule haikuwa na unga wa kupika ugali...
Ilikuwa shida sana..
Ndiyo yule pia alimzingua Dr Kawambwa alipokuja pale chini ya shuttle point kusikiliza hoja za wanafunzi,tukaishiwa kupigwa mabomu.......Kumbukumbu kama zipo sawa ni MwitaAliyeandamana peke yake ni Ndunguru au Mwita?
Sasa Mkuu kijiji si kinakuwa na mchanganyiko wa umri,na wazee hawakosekani,ShikamooKumbe JF tunachat na watoto makinda/mlenda wenye kunukia maziwa bado
Nilichojifunza kwenye wengi poana mengi. Wewe unaweza ukawa unafikiri kua lengo lenu ni moja ila kumbe miongoni mwenu kuna watu wana maelngo tofauti kabisa na maovu. Kusema kweli mgomo wa 2011 ulikua wa mwisho na sidhani kama itakaa kutokea mgomo mwingine tena kwenye vyuo vikuu.Ndiyo yule pia alimzingua Dr Kawambwa alipokuja pale chini ya shuttle point kusikiliza hoja za wanafunzi,tukaishiwa kupigwa mabomu.......Kumbukumbu kama zipo sawa ni Mwita
Kweli kabisa mkuuNilichojifunza kwenye wengi poana mengi. Wewe unaweza ukawa unafikiri kua lengo lenu ni moja ila kumbe miongoni mwenu kuna watu wana maelngo tofauti kabisa na maovu. Kusema kweli mgomo wa 2011 ulikua wa mwisho na sidhani kama itakaa kutokea mgomo mwingine tena kwenye vyuo vikuu.
Vijana walifanikiwa kwa asilimia mia moja kwenye mgomo ule japo furaha iligeuka msiba baada ya kusherehekea ushindi kwa kutaka kwenda kutoa kipigo kwa viongozi wa serikali ya wanafunzi (DARUSO) ambapo ilikuja kutafsiriwa kama jaribio la kutaka kupindua serikali ya wanafunzi.
Wakati mwingine najiuliza kama wale wanaosomea uandishi wa habari (Mass communication) matukio kama yale hawawezi hata kuyaandalia habari kwa kina na kuja na kitabu au makala zinazoelezea kwa kina kiini cha tatizo na masimulizi mpaka ilivyoisha na hasara au faida zilizopatikana.
Ila yote kumi tisa yule jamaa aliyejiita alshabab alikua mtu wa tofauti sana (Charismatic leader) kwa waliokuwepo mitaa ya chuo na kufatilia kiundani jamaa alijaliwa uwezo wa kushawishi watu.
jina lake lilikua halifahamiki kwa hiyo hata utawala walipata shida sana kumdhibiti mana hawajui ni nani wala anasoma kozi gani, alisumbua sana.
Marhabaa, nimesoma UDSM 1993-1997 iliyokuwa Faculty of Engineering shahada ya kwanzaSasa Mkuu kijiji si kinakuwa na mchanganyiko wa umri,na wazee hawakosekani,Shikamoo
Ndio mkuuHuu ndo mgomo uliomuondoa Alphonce Lusakok...!!????