MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 20,605
- 42,588
Nilikukataa.... niliona kabisa mbeleni utaleta shidaWw si umeniambia wewe ndionbaba yangu sasa
Walikuona uko mbeleni utakosa ajira ππLengo kupiga PGM sasa ningesomaje PCGM?π€£π€£π€£
Kama nilivyokosa sahiziπ€£π€£π€£π€£Walikuona uko mbeleni utakosa ajira ππ
mimi nilikuwa kwenye kilele cha milima kilimanjaro uhuru peak2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? πππ
Nimetoka saiz niko chuga. Hayo majina yote uliyotaja hizo sehemu zip Tunduru sijawahi fika TunduruKwahiyo ujawai toka njee ya matimila
Kabla ya Juni, nilikuwa nimeajiriwa KMCL kule kwenye makinikia ya Magu (process plant) na baada ya Juni nilikuwa Celtel network dept..!! Haya amkia2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? πππ
Aha kumbe uko chuga nimekaa sanaNimetoka saiz niko chuga. Hayo majina yote uliyotaja hizo sehemu zip Tunduru sijawahi fika Tunduru
Shikamoo dingiKabla ya Juni, nilikuwa nimeajiriwa KMCL (process plant) na baada ya Juni nilikuwa Celtel network dept..!! Haya amkia
Unapambania kombemimi nilikuwa kwenye kilele cha milima kilimanjaro uhuru peak
Col.tole rusubi?Hapo kwa kina Col.Rusubi ? Akiwepo Nguvava(rip) na kina Ngonyani(rip)
Tupo huku tunashangaa shangaa mlima meruπAha kumbe uko chuga nimekaa sana
Una tanga na njia mpaka majani yanakuteenga ukipita njianKama nilivyokosa sahiziπ€£π€£π€£π€£
Mwezi ujao nitakuwa uko naenda kupanda mlima meruTupo huku tunashangaa shangaa mlima meruπ
Hadi beki tatu anakuita ....weh Jobless nisaidie kuosha masufuria hapaππ€£π€£Una tanga na njia mpaka majani yanakuteenga ukipita njian
Baba amtupi mtoto wake af mbaya tumefanana sana mpaka akiliNilikukataa.... niliona kabisa mbeleni utaleta shida
Hongera mkuu karibu sanaπMwezi ujao nitakuwa uko naenda kupanda mlima meru
Kwanini usitoke kwenu ππ unagombania ukoko na watotHadi beki tatu anakuita ....weh Jobless nisaidie kuosha masufuria hapaππ€£π€£
Nanyang'anyana rimoti na madogo wakirudi likizoKwanini usitoke kwenu ππ unagombania ukoko na watot
Asante mkuu nitakuwa na wazungu baadhi nitakupa mmoja walua uondoe mikosi najua mgoni utakiwi kumuachia mwanamke akuamgalizieHongera mkuu karibu sanaπ
ππππ kaka utakuja kumwagiwa maji ya moto uku unajiona akifukuzaye akuambii tokaNanyang'anyana rimoti na madogo wakirudi likizo