Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Ulishawahi kujiuliza kwa nini kuna Wadada wengi sana siku hizi hawajaolewa? Siyo kwamba hawapati Wanaume au hakuna Wanaume wa kuwaoa bali ukweli ni kwamba hawapati Wanaume wanaowataka wao, kama ulikuwa haufahamu hilo basi nakuelimisha leo hii, hii inaitwa Kanuni ya 80/20, inasema kwamba 20% tu ya Wanaume ndiyo wanaowabadilisha Wanawake wote, na Wanaume waliobakia wanaondoka patupu, yaani kwa maana nyingine kama wewe ni Mwanaume na uko nje ya 20% haupati demu hata ufanyeje labda ubake ambapo utaishia Jela au ukahonge Kona Bar, lkn utalala njaa kwa kukosa hela ya kula!
Siku hizi kuna Wanaume wengi tu hawapati Wanawake wa kuoa, ingawaje wanajaribu kila wawezalo, lkn wanasahau hii Kanuni kwamba hawamo kwenye 20% ya Wanaume ambao Wanawake wanataka kuolewa nao, hivyo utamaliza dawa zote, utazunguka kwa Wachungaji wote lkn kama haupo 20% ya Wanaume hautapata Mwanamke labda ubake!
20% ya Wanaume wanalala na 80% ya Wanawake, Wanaume waliobakia hawapati Wanawake.
Ndiyo maana utasikia maneno meengi ya kashfa ktk kwa Wanaume ambao wako nje ya 20% sijui mara mtazeekea nyumbani, mara sijui muda unakwenda lkn ukweli ni kwamba siku hizi Wanawake hawakubali kuolewa na ambaye hana game, hata kama akipiga miaka 40 ni bora lkn chini hashuki, ...
Siku hizi kuna Wanaume wengi tu hawapati Wanawake wa kuoa, ingawaje wanajaribu kila wawezalo, lkn wanasahau hii Kanuni kwamba hawamo kwenye 20% ya Wanaume ambao Wanawake wanataka kuolewa nao, hivyo utamaliza dawa zote, utazunguka kwa Wachungaji wote lkn kama haupo 20% ya Wanaume hautapata Mwanamke labda ubake!
20% ya Wanaume wanalala na 80% ya Wanawake, Wanaume waliobakia hawapati Wanawake.
Ndiyo maana utasikia maneno meengi ya kashfa ktk kwa Wanaume ambao wako nje ya 20% sijui mara mtazeekea nyumbani, mara sijui muda unakwenda lkn ukweli ni kwamba siku hizi Wanawake hawakubali kuolewa na ambaye hana game, hata kama akipiga miaka 40 ni bora lkn chini hashuki, ...