20 % ya wanaume and 80 % ya wanawake

20 % ya wanaume and 80 % ya wanawake

Lovebird

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2012
Posts
6,661
Reaction score
9,966
Asilimia 20 ya wanaume wakiamka asubuhi huwa hawatandiki vitanda vyao na
Asilimia 80 ya wanawake huwa wanavaa “brazier” ambazo hazilandani na ukubwa wa matiti/maziwa yao (wengi wanavaa “brazier” ndogo ili kubana matiti)
 
source?

Ony 20% ndo hawatandiki vitanda?
I thought 95%.
Hiy9 ya bra hata nisibishe manake Boflo kaelimisha hadi kachoka.
 
Last edited by a moderator:
Really?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
HA HA HAAAAAAAA kuchimbana asubuhi yote hii jamani!!!!

Sio kutandika tu hata net inasogezwa pembeni ukipata pa kutokea inatosha na jioni unapenya hapo unarudishia net unalala zako!!!!!!!

Kutandika mara nyingi huchakaza mashuka!!!!!!!!
 
Yaani huo ni mtihani wa taifa aisee.nachukia mimi hadi basi!
HA HA HAAAAAAAA kuchimbana asubuhi yote hii jamani!!!!

Sio kutandika tu hata net inasogezwa pembeni ukipata pa kutokea inatosha na jioni unapenya hapo unarudishia net unalala zako!!!!!!!

Kutandika mara nyingi huchakaza mashuka!!!!!!!!
 
Na wale anaooga wasioanika taulo nje, basi unakuta chumba kinanuna kutuzi ile mbovu.........wanaume badilikeni
 
Ila kweli, kutandika kitanda mara kwa mara huchakaza mashuka,
Ndo maana kutokana na uchunguzi uliofanyika Wanawake hununua mashuka mara tatu zaidi ya wanaume at a given time.

REDUCE COSTS, SEMA HAPANA KUTANDIKA OFTEN. 😀😀
 
Ila kweli, kutandika kitanda mara kwa mara huchakaza mashuka,
Ndo maana kutokana na uchunguzi uliofanyika Wanawake hununua mashuka mara tatu zaidi ya wanaume at a given time.

REDUCE COSTS, SEMA HAPANA KUTANDIKA OFTEN. 😀😀

nimeipenda hii......
 
HA HA HAAAAAAAA kuchimbana asubuhi yote hii jamani!!!!

Sio kutandika tu hata net inasogezwa pembeni ukipata pa kutokea inatosha na jioni unapenya hapo unarudishia net unalala zako!!!!!!!

Kutandika mara nyingi huchakaza mashuka!!!!!!!!

Unatandika, ukiamka unakuta pako vululu unatandika tena!! Viscious circle!!

Mi nimeamua sitandiki, naamka, nasogeza neti pemben kdg, usiku naingia tu!!
 
Ila kweli, kutandika kitanda mara kwa mara huchakaza mashuka,
Ndo maana kutokana na uchunguzi uliofanyika Wanawake hununua mashuka mara tatu zaidi ya wanaume at a given time.

REDUCE COSTS, SEMA HAPANA KUTANDIKA OFTEN. 😀😀

naomba ufafanuzi shuka linachakaa vipi kwa kutandikwa???
 
mim sitandiki kitanda,kuna mtu akija kufanya usafi uwa ni kazi yake kutandika na kubadilisha
 
Ha ha ha ha ha ha,asubuhi unapenya out of net kama kwenye msitu wa kongo na jioni ukirudi unaangalia wapi panapitika kirahisi kurudi kitandani,HII INAPUNGUZA DISTUBANCE.hata net itatoboka kwa hiyo chomoa chomeka,chomeka chomoa.
Si mnajua ile misumari/bolt ya kwenye kona.
 
Bado ishu ya kubadilisha mashuka. Hivi mashuka yanatakiwa kubadilishwa wastan baada ya muda gani?
 
Ila kweli, kutandika kitanda mara kwa mara huchakaza mashuka,
Ndo maana kutokana na uchunguzi uliofanyika Wanawake hununua mashuka mara tatu zaidi ya wanaume at a given time.

REDUCE COSTS, SEMA HAPANA KUTANDIKA OFTEN. 😀😀

Heeeheeeheee
 
Back
Top Bottom