MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,859
kwenye nyumba ( mansion),anaokuja kusafisha na kutandika ni beki tatu
Acha ubwanyenye
kwenye nyumba ( mansion),anaokuja kusafisha na kutandika ni beki tatu
OYaani huo ni mtihani wa taifa aisee.nachukia mimi hadi basi!
Unatandika, ukiamka unakuta pako vululu unatandika tena!! Viscious circle!!
Mi nimeamua sitandiki, naamka, nasogeza neti pemben kdg, usiku naingia tu!!
ha ha ha nimechekaje maana mi ndo zangu , wife akisafiri wiki nzima basi net haitolewi hadi atakaporudi ha haHA HA HAAAAAAAA kuchimbana asubuhi yote hii jamani!!!!
Sio kutandika tu hata net inasogezwa pembeni ukipata pa kutokea inatosha na jioni unapenya hapo unarudishia net unalala zako!!!!!!!
Kutandika mara nyingi huchakaza mashuka!!!!!!!!
...JF wangap wametandika vitanda leo?, kufua mashuka, na kufanya usafi vyumbani?O
Mimi niloshindwa zamani za kale, ukiamka unatandika ukitoka kuoga unakaakitandani kucheki mails na Jf ukiamka unatandika tena,unaenda kuoga then breakfast unakaa bed kucheki movie ukimaliza unatandika tenaaaaaa!!!!!!!!!!
Im just assuming hapo hapo choo, sitting room, dining room. ..etc
Mkuu toa neno hawatandiki pachika hatutandiki ryt?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums