1KZ inaenda 3.5m na 3L inaenda 4.5m.nisaidie pia bei ya 3L
1ZZ je??1KZ inaenda 3.5m na 3L inaenda 4.5m.
2.3m- 2.5m1ZZ je??
Ile ya Rav 4 Kili time,
2.3m- 2.5m
Bei ya kuanzia ni 3.5mMkuu engine ya 4M40 canter guts diesel ni shilingi ngap??
Kamanda hii kitu bado ipo?wakuu nauza injini ya 1kz-te, haina tatizo iko kwenye toyota hiace super custom. sababu ya kuuza nataka niifanye hiyo hiace kuwa daladala na hiyo injini ya 1kz ni kubwa ina turbo haifai kwa daladala kibiashara.
kitu ipo