1G na vvti

quresma

Member
Feb 8, 2012
32
2
salam
nambeni msaawa tofauti yabo wa engine aina ya 1G na vvti,zinazotumika kwenye gx 100, ipo nibora kwa ujumla,thnx
 
Mi nadhani 1G Ni engine model na vvti Ni feature ambayo unaipata katika models tofauti za engine, hivyo inaweza kuwa Ni 1G vvti engine
 
Kiukweli vvt-i ina-consume mafuta kwa kiasi kidogo compared na 1g lakini sio kwa tofauti kubwa sana, simple calculation kwenye safari ya mafuta ya buku 10 kwa 1g basi vvti ni kama buku 9 - up to 8.5

lakini ukija kwenye engine imara kuliko basi 1g ni funika bovu, hii unaweza kutumia ww mpaka wajukuu wako. Mostly gari zenye engine ya 1g kwa mfano mark gx 100 huwa zinadumu sana kuliko vvti-hizi huwezi kukaa nazo mwaka bila engine kusumbua
 
To the best of my knowledge! !! 1g ni engine model, vvti, ni moja ya valve techonology, 1 g iko tokea miaka ya tisini , mtiririko wake kama sikosei uko hivi...
1g twelve valve, early 90's
1g 24 valve , mid to late 90's
1g vvt-i early model
1g vvtl-i (beam 2000)

Nadhani swali lako lilikuwa kutaka kujua valve techonology ipi katika 1g engine ni nzuri... mi nadhani beam 2000 ( vvtl-i)ni nzuri kuliko zote.
 
To the best of my knowledge! !! 1g ni engine model, vvti, ni moja ya valve techonology, 1 g iko tokea miaka ya tisini , mtiririko wake kama sikosei uko hivi...
1g twelve valve, early 90's
1g 24 valve , mid to late 90's
1g vvt-i early model
1g vvtl-i (beam 2000)

Nadhani swali lako lilikuwa kutaka kujua valve techonology ipi katika 1g engine ni nzuri... mi nadhani beam 2000 ( vvtl-i)ni nzuri kuliko zote.
Mkuu t blj kuna mdau hapo juu kasema kuwa hizi VVTi ndani ya mwaka mmoja engine lazima isumbue naomba unisaidie na mimi hapo,tatizo la hizo engine ni nini compared to 1G!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu t blj kuna mdau hapo juu kasema kuwa hizi VVTi ndani ya mwaka mmoja engine lazima isumbue naomba unisaidie na mimi hapo,tatizo la hizo engine ni nini compared to 1G!

Duu ndo nasikia kwako hiyo mkuu
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli vvt-i ina-consume mafuta kwa kiasi kidogo compared na 1g lakini sio kwa tofauti kubwa sana, simple calculation kwenye safari ya mafuta ya buku 10 kwa 1g basi vvti ni kama buku 9 - up to 8.5

lakini ukija kwenye engine imara kuliko basi 1g ni funika bovu, hii unaweza kutumia ww mpaka wajukuu wako. Mostly gari zenye engine ya 1g kwa mfano mark gx 100 huwa zinadumu sana kuliko vvti-hizi huwezi kukaa nazo mwaka bila engine kusumbua

asante mkuu nadhan 1g ni nzuri kwa comment ako thanx be blessed
 
salam
nambeni msaawa tofauti yabo wa engine aina ya 1G na vvti,zinazotumika kwenye gx 100, ipo nibora kwa ujumla,thnx

1G ni roho ya paka yaani inahimili mikiki sana vvti 2000 BEAM ni nzuri sana ila umeme mwingi sana inatumia
 
1G ni roho ya paka yaani inahimili mikiki sana vvti 2000 BEAM ni nzuri sana ila umeme mwingi sana inatumia

nimeipenda owky nadhan nachukue 1g maana nilikuwa njia panda kuna jamaa alisema vvti ndo nzuri maana haiharikibi kirahisi owky mie napenda hy roho ya paka,thanx guys respect to u all,regards
 
Back
Top Bottom