pamjela
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 393
- 723
Ha ha ha mkuu MWENGE-POSTA km gari yako sio pamba na haina mziki mnene hio ruti utoboi na hata abiria wenyewe hawapandi ilikuwa ruti ya mabrazameni na masister duuWahenga fungukeni tukumbushane mengineyo jamani