cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,606
- 5,626
Its true kutokana na van allen belt inaprove safari ya marekani kwenda moon was a hoax...angalau msouth afrika mwenzetu allen musk juzi amepeleka big fucking rocket hadi hapo so hopeful atatoboaMwaka 1958 mwana fizikia James Van Allen aligundua energetic particles ambazo zipo kama rings hivi katika sayari yetu hii ya Dunia. Ni mionzi(radiation) yenye ukanda(belt) ya aina mbili zimeizunguka Dunia. Hiyo mionzi(radiation) kwa tabaka lake la nje imeundwa kwa billions of high energy ambazo zimejizalisha kutoka kwenye Jua ambazo zinanasia au zinagandia katika earth's magnetic field, katika pahala panapojulikana kama magnetosphere.
Eneo la ndani la hii mionzi kwenye huo ukanda ni matokeo ya mwingiliano wa cosmic rays katika earth's atmosphere, na cosmic rays ni atom fragments ambazo zinanyeshelezea katika sayari ya Dunia from outside ya solar system yetu.
Kwa uvumbuzi huo hiyo mionzi ikapewa jina la mwanafizikia aliyeigundua. Ikaitwa Van Allen belt Radiation.
Habari kutoka NASA ni kwamba, satellite itakayoingia imma kwa kukusudia au kwa bahati mbaya ikakosea njia katika Van Belt Radiation uwezokano wa kuharibika ni kwamba hiyo satellite itaharibika kwa mionzi hiyo, na italeta athari hasi kwa astronauts vilevile. Mwaka 2012, NASA walituma twin Van Allen Probes Instruments ili kufanya uchunguzi zaidi kuhusu Van belt radiation. Walichogundua ni kwamba ni impenetrable barrier in space, na ipo umbali wa Km 600 kutoka earth's surface. David Sibeck kutoka NASA Goddard Space Center anasema kwamba: Teknolojia yetu tuliyonayo sasa hivi bado si rafiki wa kuweza kupita kwenye hiyo mionzi , kwa sababu kuguswa kidogo tu kwa chombo kitakachopita kwenye hiyo mionzi hata kwa mara moja, ina uwezo wa kuleta athari ya moja kwa moja kwa chombo na astronauts.
Ila tufahamu ya kwamba astronauts waliyopo ISIS hawa hawagusi hiyo belt, huwa wanaelea nyuma ya belt. Kwa maana hata kuinusa hawainusi, wapo nayo mbali kwa sababu hiyo mionzi haicheki na mtu.
Mwishoni David Sibeck anasema, kwa kufanya uchunguzi na kuendelea kujifunza kuhusu Van belt radiation, anasema: At earth, we can study these details and apply that knowledge both to our journey to Mars and...kwenye mwezi....na hii ni kauli ya 2018. Kwa sababu 2020 van Allen probes instruments inatarajiwa kumaliza mission yake kwa sababu ina running low in fuel.
Kwa hiyo, hapa ni masuala ya kumkichwa tu, kama una amini teknolojia inaenda mbele na kurudi nyuma kwamba WALIENDA MWEZINI HAYA.
Why did the Tesla Roadster spend time in the Van Allen belt?
Ask Question
up vote37down votefavorite
1
Following the Falcon Heavy launch, the second stage + Roadster payload spent a number of hours 'drifting' through the Van Allen belt before performing the burn to put it into its current orbit.
Elon Musk via Twitter:
Upper stage restart nominal, apogee raised to 7000 km. Will spend 5 hours getting zapped in Van Allen belts & then attempt final burn for Mars.
Given that spending time there exposed the spacecraft to more radiation than it would receive had it performed its escape burn prior to passing through the belt, and this radiation was a source of potential risk that could have rendered the craft inoperable, what was the reason for this slow traversal?
It has been mentioned elsewhere that this was to show that it could be done to satisfy the DoD (e.g. this comment) but why would they want to put a spacecraft through extended exposure to the additional radiation encountered in the belts?
launch falcon-heavy tesla-roadster upper-stage van-allen-belt