May Be
Member
- Sep 5, 2011
- 42
- 13
hii ni noma kweliJaribu kusema ''ALFA'' halafu useme tena ''Q'',sasa rudia hayo maneno haraka haraka kwa sauti.
hii ni noma kweliJaribu kusema ''ALFA'' halafu useme tena ''Q'',sasa rudia hayo maneno haraka haraka kwa sauti.
Jamaa hamnazo.Mvulana:naweza nikapanda milima mirefu, naweza nikaongelea baharini kwenye kina kiredu na hata kutembea kwenye mkaa wa moto unaochoma,hii yote nikuonyesha jinsi navyokupenda
Msichana: Jamani dia una maneno matamu ndo mana nakupenda,leo uje basi getoni kwangu.
Mvulana: We mjinga nini? siwezi kuja nje mvua inanyesha.
Kulikuwa na jamaa mmoja amekaa katika baa maeneo mageni kwake, alikuwa na kinywaji chake mbele yake na alikuwa anakiangalia kwa muda mrefu, ghafla akatokea jamaa mmoja baunsa amelewa na akiwa na demu akashika glasi ya mchizi akainywa,huku anacheka
jamaa akaanza kulia, yule baunsa akamuambia,
BAUNSA: (huku anacheka) yaani wewe mjinga kweli kukuchukulia kinywaji ndio ulie??ngoja nikununulie kingine,**** kweli wewe.
JAMAA: (huku analia) siyo hivyo ila sijui nina mkosi gani leo, maana nimeamka asubuhi nikachelewa kazini nimefika bosi akanifukuza kazi, natoka nje gari yangu imeibiwa nikenda polisi wakanizungusha tu, nikapanda tax kwenda nyumbani nimeshuka katika tax nikasahau walet na simu katika tax na dereva tax si mjui,
nimeingia ndani kwangu namkuta mke wangu amelala na kijana wangu wa kazi
nikaamua kuja bar nimekaa nafikiria jinsi ya kuepukana na balaa hili la maisha na wewe umekuja umekunywa sumu yangu.
Jaribu kusema ''ALFA'' halafu useme tena ''Q'',sasa rudia hayo maneno haraka haraka kwa sauti.
Haaaaa,haaaaa, haaaaaaa,uwiiiiii mie gafla jamaa kawa sharobaro anaogopa mvua!!!asante kwa kunupa raha mkuu!Mvulana:naweza nikapanda milima mirefu, naweza nikaongelea baharini kwenye kina kiredu na hata kutembea kwenye mkaa wa moto unaochoma,hii yote nikuonyesha jinsi navyokupenda
Msichana: Jamani dia una maneno matamu ndo mana nakupenda,leo uje basi getoni kwangu.
Mvulana: We mjinga nini? siwezi kuja nje mvua inanyesha.
Haaa haaaa haaaa!ww noma,jiran yangu akajua nimeiga kurap kimarekan!Jaribu kusema ''ALFA'' halafu useme tena ''Q'',sasa rudia hayo maneno haraka haraka kwa sauti.
Haaaaa haaaa haaaaa haaaaaa, uwiiiiiii!Kulikuwa na jamaa mmoja amekaa katika baa maeneo mageni kwake, alikuwa na kinywaji chake mbele yake na alikuwa anakiangalia kwa muda mrefu, ghafla akatokea jamaa mmoja baunsa amelewa na akiwa na demu akashika glasi ya mchizi akainywa,huku anacheka
jamaa akaanza kulia, yule baunsa akamuambia,
BAUNSA: (huku anacheka) yaani wewe mjinga kweli kukuchukulia kinywaji ndio ulie??ngoja nikununulie kingine,**** kweli wewe.
JAMAA: (huku analia) siyo hivyo ila sijui nina mkosi gani leo, maana nimeamka asubuhi nikachelewa kazini nimefika bosi akanifukuza kazi, natoka nje gari yangu imeibiwa nikenda polisi wakanizungusha tu, nikapanda tax kwenda nyumbani nimeshuka katika tax nikasahau walet na simu katika tax na dereva tax si mjui,
nimeingia ndani kwangu namkuta mke wangu amelala na kijana wangu wa kazi
nikaamua kuja bar nimekaa nafikiria jinsi ya kuepukana na balaa hili la maisha na wewe umekuja umekunywa sumu yangu.
Mweeeeeeee!mbavu zangu wajamen!Jamaa ana vidole vigumu vya mkono mpaka akigusa keyboard ya computer,computer inasema NEW DEVICE FOUND AND READY TO INSTALL.
Jamaa ana vidole vigumu vya mkono mpaka akigusa keyboard ya computer,computer inasema NEW DEVICE FOUND AND READY TO INSTALL.