16 weeks pregnancy

16 weeks pregnancy

"Appendicitis" ni tatizo ambalo si ajabu kuwakumba wamama wajawazito.
Uzuri ni kwamba kwa umri wa mimba yako bado kuna nafasi ya kufanyiwa upasuaji salama.
Jaribu kukutana na wataalam wa upasuaji pamoja na wale waliobobea kwenye afya za kina mama.
 
Nashangaa mie mrembooo, hapa kila mtu anajifanya kuponda wakati rate ya utoaji mimba iko juu kuliko unavyodhania, kila siku foleni marie stopes ya watoa mimba. Sasa swali ni je kama kila mtu ni mpingaji hao watoa mimba ni akina nani sasa?? kaaaazi kweli kweli

jamani wewe hata kumung'unya maneno?
 
Kamuone daktari mwingine mtaalam kwenye mambo ya ujauzito ambaye anaweza kukusaidia kwenye hili tatizo kuhusiana na ujauzito wako. Inawezekana ukahitaji bed rest kati ya sasa mpaka utakapojifungua ili kuhakikisha usalama wako na mtoto mtarajiwa.
 
Back
Top Bottom