15th September: LIST OF SHAME DAY

15th September: LIST OF SHAME DAY

Nakumbuka Mhe Rais alikuwa safari kama kawaida na aliporudi akihojiwa uwanja wa ndege alikana na kusema Dr. Slaa ni muongo na hakuna kitu kama hicho, hiyo ilikuwa ni baada ya Dr. Slaa kuondoa jina lake katika list of shame ilikumpa nafasi ya kushughulikia wengine kama rais lakini bado alishindwa.
 
Iwekwe katika kumbukumbu na iadhimishwe kwa mijadala inayohusu uhuru na haki za binadamu
 
Siku kama ya leo twapaswa, waislam, wakristo na hata wasiokuwa na dini, iwe ni siku ya kumuombea dr. Slaa awezi kuishi kwa miaka mingi zaidi.
 
Hii siku niya muhimu sana maana ndiyo turning point ya siasa zetu za kibongo. Japo kilichotegemewa kutoka serikalini hakijafanyika lakini unaweza kuona ni kwa jinsi gani imesaidia kuwadabisha hawa jamaa na li chama lao LA KIJANI NA NJANO. Wapo wanaobeza lakini huu ndiyo ulikuwa mwanzo wa mapambano. Bravo Dokta.
 
Hii ni siku ambayo sitakaa niiisahau akmwe. Ni Siku Ambayo Dr. W. P Slaa aliiadhibu Vikali CCM pale Mwembe Yanga, Ni Adhabu ambayo mpaka leo CCM bado wanaendelea kuitumikia. Ni Adhabu ambayo Imeziua kile Kilichitwa " Kujivua Gamba kwa Maslahi ya Chama".

Ni siku ambayo kwa mara ya Kwanza Dr. Slaa aliwafanya Wananchi waichukie CCM na ndio maana Dr. Slaa amekuwa adui namba Moja kwa CCM na makada wake ambao kila wakipata Fursa lazima Wamtaje lakini ni Siku ambayo Dr. Slaa alikuwa Kipenzi Kikubwa cha wananchi wa Tanzania.

Najua Dr. Slaa yuko busy na Kampeni ila naomba akipata nafasi achangie japo Maneno juu ya hii siku na nini CHADEMA wanapanga kufanya katika siku ya Leo.

Isiwe ndo ya mwisho wana magwanda
 
Hii ni siku ambayo sitakaa niiisahau akmwe. Ni Siku Ambayo Dr. W. P Slaa aliiadhibu Vikali CCM pale Mwembe Yanga, Ni Adhabu ambayo mpaka leo CCM bado wanaendelea kuitumikia. Ni Adhabu ambayo Imeziua kile Kilichitwa " Kujivua Gamba kwa Maslahi ya Chama".

Ni siku ambayo kwa mara ya Kwanza Dr. Slaa aliwafanya Wananchi waichukie CCM na ndio maana Dr. Slaa amekuwa adui namba Moja kwa CCM na makada wake ambao kila wakipata Fursa lazima Wamtaje lakini ni Siku ambayo Dr. Slaa alikuwa Kipenzi Kikubwa cha wananchi wa Tanzania.

Najua Dr. Slaa yuko busy na Kampeni ila naomba akipata nafasi achangie japo Maneno juu ya hii siku na nini CHADEMA wanapanga kufanya katika siku ya Leo.

Albedo,thank u so much to remind me about this special days, wow list of shame, I have to find that list again, I don't know where I put them.

Great job!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
leo basi iwe siku ya kusheherekea Slaaa day ama tuiite mafisadi day
 
1. Dk Daudi Balali

2. Benjamin William Mkapa

3. Patrick W.R. Rutabanzibwa

4. Nimrod Elirehema Mkono

5. Andrew J. Chenge

6. Basil Pesambili Mramba

7. Grey S. Mgonja

8. Nazir Karamagi

9. Rostam Aziz

10. Edward Lowassa

11. Jakaya Mrisho Kikwete

Tutawakumbuka daima kwa jinsi Dk Slaa alivyotueleza tarehe 15/09/2007 jinsi kila mmoja wenu alivyosababisha leo hii nchi yetu ni maskini. Tunatamani mfe hata leo.
 
Nilisave hii hutuba leo umenikumbusha kuisoma nashauri kila mmoja aitunze kwa vizazi vijavyo. Watoto wetu na wajukuu wajue wizi huu. Hivi pesa zote zilizoibiwa zingewekwa kwenye miradi ya maendeleo saiv tungekuwapi. Halafu huyo namba 2. B. Mkapa anasema anafurahi kuona barabara ya lami kutoka Dar mpaka Mwanza ambayo imejengwa kwa msaada wa wadau wa maendeleo. Hivi kweli huyu ndio wanamtumia huko Igunga kuwahadaa wanaigunga mimi nakereka sana na hizi kejeli za viongozi wa ccm kujivunia maendeleo ambayo hayaonekani badala yake tunaona wizi uliokithiri. Kusema kweli maendeleo ya Tanzania hayalingani na miaka 50 ya uhuru.
 
upupuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni kweli kabisa mtoa mada hili jambo lina umuhimu wake kwa Watz na Taifa kwa ujumla.Keep on touch Dr Slaa,
 
1. Dk Daudi Balali

2. Benjamin William Mkapa

3. Patrick W.R. Rutabanzibwa

4. Nimrod Elirehema Mkono

5. Andrew J. Chenge

6. Basil Pesambili Mramba

7. Grey S. Mgonja

8. Nazir Karamagi

9. Rostam Aziz

10. Edward Lowassa

11. Jakaya Mrisho Kikwete.

Namba moja alipotea, namba sita na saba wameshakwisha shtakiwa, namba mbili na tisa ni wapiga kampeni wakuaminika na kutegemewa na CCM hivyo hawawezi kushtakiwa na serikali ya CCM.


Kumi ndio ana nguvu katika serikali ya awamu ya nne anaogopwa na kila mtu ndani ya serikali na chama cha mapinduzi, kumi na moja Dr. Slaa alimuondoa katika list.
 
9/15. I like the sound of it. It rhymes with 9/11. On that day, Dr Slaa bombed the CCM so hard that they stayed bombed. Never before has a single speech reversed the opinion of so many people against so entrenched a party.

Bravo Dr. Slaa. You are our leader. We like following you. May God continue to give you strength and protection from the evil one (and from CCM).
 
1. Dk Daudi Balali

2. Benjamin William Mkapa

3. Patrick W.R. Rutabanzibwa

4. Nimrod Elirehema Mkono

5. Andrew J. Chenge

6. Basil Pesambili Mramba

7. Grey S. Mgonja

8. Nazir Karamagi

9. Rostam Aziz

10. Edward Lowassa

11. Jakaya Mrisho Kikwete

Tutawakumbuka daima kwa jinsi Dk Slaa alivyotueleza tarehe 15/09/2007 jinsi kila mmoja wenu alivyosababisha leo hii nchi yetu ni maskini. Tunatamani mfe hata leo.


Lets see how many from the list of shame were involved in the Valambhia case, which by the way is still continuing as a special project of fewTZ officials and friends. In the Valambhia case, the court at one time had issued an arrest warrant for the gov. of the Bank, Mr. Daudi Balali, for not obeying a court order. The Valambhia case continued like a "drug" addiction during the previous President, Mr. Mkapa's regime, and still languishes in the court today during the current regime, President Kikwete.
Even though the case itself has been final/conclusively determined by the Highest court of the land, the court of appeals in 2003.
The role of the former AG in the Valambhia case needs to be examined very closely. Besides, blocking and denying Mr. Valambhia his rightful, legal entitlement, Mr. Chenge, in October 2003, after the Final/Conclusive judgement from the Court of Appeals, dragged Mr. Valambhia back into the courts on a matter already decided by the highest court of the land. He placed the case in front of someone who had already represented Mr. Valambhia's former business partner on the same case years ago.
Why? To continue a res judicata case of course. Why continue a case till the whole decretal amount is exhausted? And who got paid Mr. Valambhia's decretal amount? Not Mr. Valambhia for he died in complete financial destitution. Why continue to steal another person's rights? Why blatantly disregard the law? And of course, the lawyer representing the Bank of Tanzania, was none other than their attorney on retainer, Mr. Mkono.
Who benefitted? & Who continues to benefit today from the open draft at the BoT on the Valambhia case?
A daylite robbery in progress and as in the words of one Senior BoT official,
"No one cares to stop it, because it is their cash generating machine."
Justice denied is Big Business for the few&mighty whose greedy hands, eyes, are clutching this matter close to their chests, (pockets).
One of the most important point to be noted here. First when Mr. Valambhia was shouting at the top of his lungs that his lawful, legal entitlement was being stolen, he used to refer to it as Daylite robbery, he was right. Like an unstoppable train, the daylite robbery still continues today in full force costing the TZ taxpayer continuing to cost the TZ taxpayer over $70M.
In 1991, when Mr. Valambhia's court order was sitting on the desk of every minister in TZ gvt., his money was being released through the back door to his partner. Also, keep in mind, the case was a civil case between two business partners, and when the TZ gvt. intervened (kind of playing the role of attorney to his business partner) the case gave birth to 14 other cases. Mr Valambhia and his lawyer, Mr. Maira emerged triumphant in all those cases.
Over 15 years the TZ media reported extensively on this case. Now today any article on this matter is suppressed. The last article on this issue was published in June 2009 by Richard Mgamba, titled "REVEALED: The most expensive case in Dar's history".
 
Eti leo hii hawa watu watatu Lowahasa...Rostihamu na kanywa maji wanatengeneza combination ya kuingia ikulu kwa hela zetu zilezile walizotuibia,na sisi tunashangilia...HIVI NI NANI ALIYETUROGA? yaani hatuoni kwamba combination ya hawa watu ni hatari kwa taifa..IPO SIKU TUTAJUTA
 
Back
Top Bottom