112 haina kazi au usiku hawapokei?

112 haina kazi au usiku hawapokei?

DVJ

Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
15
Reaction score
11
Usiku huu majira ya saa 1:35 hivi tumevamiwa nyumban kwa kuwa wezi walikuwa wanakomaa kuvunja gate nikapiga 112 jaman haipokelewi mpaka nikabid nipige 111 lakin bado ikawa ni tatizo mpaka tulipo piga kwa majiran ndo mmoja alikuwa na namba ya askari akawaita lakini hakutokea ila muda huo jiran ndo wametoa msaada lakini polisi mpaka mwenyekiti alipo mpigia Ocd ndo wakatokea tena baada ya tukio sasa swali langu hizi namba huwa zinatolewa za nini kama hazina msaada mpaka wanazidiwa na voda imeniuma sana siezi sahau na huko mikoa mingine ni hv embu nijuzen ili nijaze namba za askar kila sehem ntakayofika nichukue namba za askari kuliko 112 au 111 maana nimejuta.
 
Usiku huu majira ya saa 1:35 hivi tumevamiwa nyumban kwa kuwa wezi walikuwa wanakomaa kuvunja gate nikapiga 112 jaman haipokelewi mpaka nikabid nipige 111 lakin bado ikawa ni tatizo mpaka tulipo piga kwa majiran ndo mmoja alikuwa na namba ya askari akawaita lakini hakutokea ila muda huo jiran ndo wametoa msaada lakini polisi mpaka mwenyekiti alipo mpigia Ocd ndo wakatokea tena baada ya tukio sasa swali langu hizi namba huwa zinatolewa za nini kama hazina msaada mpaka wanazidiwa na voda imeniuma sana siezi sahau na huko mikoa mingine ni hv embu nijuzen ili nijaze namba za askar kila sehem ntakayofika nichukue namba za askari kuliko 112 au 111 maana nimejuta.
pole mkuu wez wakikuvamia Unabid Angalau upige yowe
 
Mambo ya third world hayo. ...poleni ndugu zangu.
 
Usiku huu majira ya saa 1:35 hivi tumevamiwa nyumban kwa kuwa wezi walikuwa wanakomaa kuvunja gate nikapiga 112 jaman haipokelewi mpaka nikabid nipige 111 lakin bado ikawa ni tatizo mpaka tulipo piga kwa majiran ndo mmoja alikuwa na namba ya askari akawaita lakini hakutokea ila muda huo jiran ndo wametoa msaada lakini polisi mpaka mwenyekiti alipo mpigia Ocd ndo wakatokea tena baada ya tukio sasa swali langu hizi namba huwa zinatolewa za nini kama hazina msaada mpaka wanazidiwa na voda imeniuma sana siezi sahau na huko mikoa mingine ni hv embu nijuzen ili nijaze namba za askar kila sehem ntakayofika nichukue namba za askari kuliko 112 au 111 maana nimejuta.
Uwe unalala Wakati chupa ya chai ina maji moto ya kutosha...hata chupa 2
 
Kwa bongo hazina kazi... Bora wangetoa tu za vituo vya polisi vya kawaida. Bado sana


Huko ndiyo hopeless

Nadhani bora IGP mwenyewe tu huku chini hamna kitu
 
Yaaaan mkuu unavamiwaaa alafu unategeeaa pilisi waje kukuokoaa daaah dont repeat it onve again yaan ni bora upige kelele kuliko kupiga simu polisi wenyewe washajichokeaa
 
  • Thanks
Reactions: DVJ
Yaaaan mkuu unavamiwaaa alafu unategeeaa pilisi waje kukuokoaa daaah dont repeat it onve again yaan ni bora upige kelele kuliko kupiga simu polisi wenyewe washajichokeaa
kweli sirudii
 
Niliwahi kuhoji hayo nikapewa ufafanuzi wabongo huwa wanapiga 112 kutwa nzima na usiku badala ya kutoa shida zao wanatukana matusi wengine wanafanya mzaha nadhani kwa usajili huu wa simu tatizo litaondoka maana wanasababisha hata wenye tatizo la ukweli kukosa huduma.
 
Tatizo halipo kwa polisi peke yao mpaka kwa wapigaji.....

Kwa ujumla sisi wenyewe hatuna nidhamu na hizo namba....

Pole sana mkuu
 
Pole mkuu, wana habari zao ambazo ukiwaaambia lazima waje na vifaa vyote mpaka maji ya kuwasha na la kubebea majeruhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom