JK in "active" member!
mi nawashauri wana jf pls dont be a member of such a thing,god forbid
Nahuyu atakuwepo??
Toa sababu
hivi inawezekana tunatibiwa na hospital za FREEMASSONS nyingi bila kujijua...nimejiuliza hii ni moja ya waliotaja live yawezekana hata muhimbili na kweingineko tunapelekewa pesa zao za mashetani loh
nchi yangu umsikini wako kila mtu anakutumia
Wapendwa habarini za uko
nilipata email ya mwaliko kutoka kwa bwana mmoja muhindi ikinitaarifu tar 23-26 september kutakuwa na 10th freemasson conferenc whtitesands na kwa wale wasio massons pia wanaakaribishwa na kutakuwa na mchango wa kuchangia kunduchi health centre kuwasaidia watu wa tegeta na karibu yake jamani waliohudhuria embu tuabalishen nini cha maana kwa hawa mabwana sasa kuwa wazi hivi
mungu atuepushie mbali