BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,344
- 6,858
What is to be..MUST BE.
WANAOFANYA KAZI HIYO, GARI ZAO ZINA VIOO TINTED?Hiii siku inatia mashaka, Waratibu wanazunguka na mabegi ndani yana kile kilichoongelewa na Mhe. Leo 20/11/2025.
Mpango umefichuka itakua ni rasharasha kuelekea SIKUKUU baadhi washakamatwa lengo ni kupush to the maxmum ili serikali irudie kosa.
Kosa litarudiwa kwa sababu sasa mnachofanya ni uhuni, kuelekea SIKUKUU KAMA HUJALA CHOCHOTE WEWE LALA WENZAKO WAMEANZA MAPEMA KABISAA KULAMBISHWA KITU
CHANGANYA NA ZAKO HII NI BIASHARA YA WATU.
Sijaona. NDIYO MAANA naulizaWe unaonaje