1/12/2025 - Unpredictable day

1/12/2025 - Unpredictable day

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
2,000
Reaction score
3,395
Hiii siku inatia mashaka, Waratibu wanazunguka na mabegi ndani yana kile kilichoongelewa na Mhe. Leo 20/11/2025.

Mpango umefichuka itakua ni rasharasha kuelekea SIKUKUU baadhi washakamatwa lengo ni kupush to the maxmum ili serikali irudie kosa.

Kosa litarudiwa kwa sababu sasa mnachofanya ni uhuni, kuelekea SIKUKUU KAMA HUJALA CHOCHOTE WEWE LALA WENZAKO WAMEANZA MAPEMA KABISAA KULAMBISHWA KITU

CHANGANYA NA ZAKO HII NI BIASHARA YA WATU.
 
Eti na wee ni mwana propaganda.

Siwezi gawia watu miamoja pesa bila kuwa mikononi mwa polisi

Mwambieni mama yenu ukweli kuwa vyovyote iwavyo ICC Ina msubiri,hawezi kwepa,atakufa kifo kibaya sana kibudu wenu.


Mwambieni D9 ndo mwisho wa utawala wa kiimla Tanganyika
 
Eti na wee ni mwana propaganda.

Siwezi gawia watu miamoja pesa bila kuwa mikononi mwa polisi

Mwambieni mama yenu ukweli kuwa vyovyote iwavyo ICC Ina msubiri,hawezi kwepa,atakufa kifo kibaya sana kibudu wenu.


Mwambieni D9 ndo mwisho wa utawala wa kiimla Tanganyika
Sawa mkuu KARIBU Sana
 
Kichwa kijinga ni mzigo kwa mwili. Unauchosha mwili wako bure uonee huruma
 
Aisee…mbona kama yaliyo semwa ndio yanayo tendeka…nani yupo nyuma ya hili? na kama ndio hivyo mbona kama ameshutumu mpaka wale wa korokoroni….mmh kwa ..
 
Hiii siku inatia mashaka, Waratibu wanazunguka na mabegi ndani yana kile kilichoongelewa na Mhe. Leo 20/11/2025.

Mpango umefichuka itakua ni rasharasha kuelekea SIKUKUU baadhi washakamatwa lengo ni kupush to the maxmum ili serikali irudie kosa.

Kosa litarudiwa kwa sababu sasa mnachofanya ni uhuni, kuelekea SIKUKUU KAMA HUJALA CHOCHOTE WEWE LALA WENZAKO WAMEANZA MAPEMA KABISAA KULAMBISHWA KITU

CHANGANYA NA ZAKO HII NI BIASHARA YA WATU.
Mmeanza kutoa bahasha kwa hawa jamaa wenye elimu ya madrasa wasio na elimu ya kuchanganyia kuingiza udini.LITAFELI

Sasa hivi mmekuja na la watu kupewa hela. Ujinga..LITAFELI PIA

NB: Mnajitoa fahamu kwamba waandamanaji hawana madai youote. Huu ni utoto!!
 
UVCCM huwa hamna akili, hamuwezi hata kuunda propaganda. Hiki ulichoandika hapa ni kichekesho cha bei chee sana.
 
Mmeanza kutoa bahasha kwa hawa jamaa wenye elimu ya madrasa wasio na elimu ya kuchanganyia kuingiza udini.LITAFELI

Sasa hivi mmekuja na la watu kupewa hela. Ujinga..LITAFELI PIA

NB: Mnajitoa fahamu kwamba waandamanaji hawana madai youote. Huu ni utoto!!
Sifanyi kazi ya mtu..... Naandika ninachokijua na nina uhakika nacho

CHANGANYA NA ZAKO HUNA MGAO LALA
 
IMG_7846.jpeg
 
Hiii siku inatia mashaka, Waratibu wanazunguka na mabegi ndani yana kile kilichoongelewa na Mhe. Leo 20/11/2025.

Mpango umefichuka itakua ni rasharasha kuelekea SIKUKUU baadhi washakamatwa lengo ni kupush to the maxmum ili serikali irudie kosa.

Kosa litarudiwa kwa sababu sasa mnachofanya ni uhuni, kuelekea SIKUKUU KAMA HUJALA CHOCHOTE WEWE LALA WENZAKO WAMEANZA MAPEMA KABISAA KULAMBISHWA KITU

CHANGANYA NA ZAKO HII NI BIASHARA YA WATU.


Ndo unaandika nini
 
Back
Top Bottom