1.01.2012 nilikaribishwa hapa...

1.01.2012 nilikaribishwa hapa...

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
950
Chador dinning.jpeg


Msije kuuliza midomo ipo wapi!!
 
hujazamia kweli hapa halafu utakuwa umefakamia kama vile unahama ila big up mkuu umeukarisha vizuri mwaka
 
Mkuu wa meza mbona hayupo hapo? au ni nyumba ya wajuba?
 
mwanaume unakuunywa soda kwenye mrija na mademu wanywe kwe ny nini?
 
Naona Mligonga CHAI na SODA!! tena zimefunguliwa kabisa halafu menyu ni ready made on the plate
 
hongera mkuu kwa kuukaribisha mwaka vizuri dua kwanza kabla ya kugonga menyu. very nice combination, chai na soda.
 
hongera mkuu kwa kuukaribisha mwaka vizuri dua kwanza kabla ya kugonga menyu. very nice combination, chai na soda.

Shukran...umeniona lakini hapo ??
 
izo za kitoto izo za kikubwa lazima maji ya dhaabu yawepo kaka
 
Hii picha mlipiga ya nini maana hata ukumbusho haifai maana hamna sura...............happy new year.
 
Wenyewe wako wakijua kama umewaleta JF, sahau mwaliko mwengine.
 
Back
Top Bottom