Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Jana tarehe 08/02/2011 ni siku ambayo mimi na familia yangu tulifurahia jambo lililotokea Katika Bunge. Ni Jambo linaloumiza lakini ni jambo ambalo linafariji na Kutia hasira vile vile. Naona kuna watu humu ndani wanataka kutuaminisha kwamba kwamba eti wananchi zaidi ya milioni mbili ( 2,600,000) walioichagua CHADEMA wamekasirishwa na Kitendo kilichotokea jana. Mimi nawatakia kila la kheri wale wote wanaoamini hivyo.
Kwa wengi tukio la Jana limeanza kuonesha MSTARI, MSTARI ambao ni Muhimu katika Mapambano yeyote ile, hata katika vita ili ushinde ni lazima Umtambue Adui yako. Vivyo katika Siasa kama unataka Upate Support ya wapiga Kura, ili wapiga kura wakuunge mkono ni Lazima Uchore MSTARI, MSTARI utakonesha kwa uwazi kabisa Pande Mbili.
Pande Hizo mbili ni zile za Watetezi wa Wananchi na Watetezi wa Mafisadi
MSTARI UMECHORWA
Kwa wengi tukio la Jana limeanza kuonesha MSTARI, MSTARI ambao ni Muhimu katika Mapambano yeyote ile, hata katika vita ili ushinde ni lazima Umtambue Adui yako. Vivyo katika Siasa kama unataka Upate Support ya wapiga Kura, ili wapiga kura wakuunge mkono ni Lazima Uchore MSTARI, MSTARI utakonesha kwa uwazi kabisa Pande Mbili.
Pande Hizo mbili ni zile za Watetezi wa Wananchi na Watetezi wa Mafisadi
MSTARI UMECHORWA