Maisha ya kijana ni safari ya kujitafuta.
Ni kipindi cha ndoto, nguvu, hamu, makosa, maumivu na maamuzi makubwa.
Wengi huingia hatua hii wakiwa na matarajio makubwa—lakini hukutana na uhalisia mgumu kuachwa, kukataliwa, kukosa ajira, kukosa fedha, presha za marafiki na tamaa za mwili.
Ndipo...