Wakuu,
Kwa ujumla mimi napenda umoja upendo na mshikamano lakini kwa hawa ndugu zetu wa Zanzibar tunawalazimisha kuungana na sisi bara kwa sababu ya visa hivi vya mauaji na kujeruhi watu kwa sababu zisizo na msingi.
Sikilizeni hawa wazanzibari ni kama vile mwanamke akitaka kuachika na huyo...