"Written on Her" is a song by American rapper Birdman featuring British singer Jay Sean. It was released as a single on June 23, 2009. The song was produced by Oddz N Endz, and samples the Deadmau5 remix of "The Longest Road" by Morgan Page featuring Lissie.
The song was first played during an interview on Westwood Radio 1 with Birdman and Jay Sean. It was only an iTunes Store bonus track for the 2009 album Priceless However, the remix featuring Flo Rida and Mack Maine was included in the deluxe version of the album.
'Written on Her' became Birdman's first British single, when released digitally in the UK on December 7, 2009.
Written interview za online ni unfair kwa sababu mifumo ya mitihani ya online huwa inaleta matokeo moja kwa moja punde tu unapomaliza kujibu mtihani, kwanini mfumo wa Utumishi haujatengenezwa hivyo?
Hiyo inatuaminisha kwamba Matokeo hayo sio ya haki ni batili, ya kupangwa.
Tunaomba mfumo...
Anonymous
Thread
interview
matokeo
mfumo
moja
moja kwa moja
mtihani
private
utumishi
writteninterview
Wakuu habarin za muda huu
Moja kwa moja niende kwenye mada nimehitim mwaka juz shahada ya finance baada ya kumaliza nilifanikiwa kufanya sail za sekretareieti ya ajira zaidi ya 6 na zingine zinazo simamiwa na tasisi zenyew mfano TRA lakin zote hizo hakuna hata moja niliyofanikiwa kwenda oral...
Naomba kueleweshwa,
Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?
Ni saa 00:26 usiku, Sina usingizi, nina wasiwasi mkubwa sana wakuu maana nilifanya vizuri kwenye written interview ila Sina uhakika na Oral Interview.
Oral...
Kuna Uwezekano Matokeo ya Written Interview ya TRA kwa Mechanical Engineering, Textile Engineering, Oil and Gas Engineering, Mining Engineering, na Geology Yamechanganywa Pamoja
Kuna uwezekano matokeo ya kada zote za Engineering yamechanganywa kwa pamoja. Inawezekana pia hii ilitokea katika...
TRA Tanzania
Matokeo ya Written Interview TRA Engineer II yanapaswa kupangwa kwa kada tano tofauti.
Mitihani ya usaili wa kuandika (Written Interview) kwa nafasi ya Engineer II ilikuwa tofauti kwa kila kada, lakini matokeo yake yamechanganywa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii inaweza kusababisha...
Wakuu,tusaidiane kupaza sauti,hawa gaming board kuna uhuni nadhani wanataka kuufanya,
Tumefanya interview ya kuandika week tatu zimepita,hawajatoa majibu mpaka leo,number ya candidates hata haikua kubwa kiasi cha kusema bado wanasahihisha hadi leo,utumushi tumefanya juzi interview watu...
Habari wakuu, mimi ni mtanzania mwenye miaka 29. Leo nimeenda kufanya interview ya forest officer II chini ya TFS kituo kikiwa chuo cha TIA.
Jambo la kushangaza watu wa utumishi wamenizuia kufanya kwa sababu wanasema mpaka mda ambao nitaitwa kazini (Ikitokea nimepata) nitakuwa na miaka 30...
Hamjambo humu?
Imekua mara yangu ya kwanza kufanya written interview za serikali.
Nimefanya nafasi ya accounts officer ii, nimepata 78 ila sijawa selected.
Nimelichukulia hili jambo very positive na next time nitapambana zaidi.
Ndugu Mwenye notes au maswali au ABC cha nini naweza kusoma kufaulu interview ya kuandika ya utumishi msaasa please, Natanguliza shukrani.
N. B Mwl wa kemia na biologia🙏🙏🙏🙏🙏
Msaada Nondo za business administration kwa ajili ya written interview utumishi - tutorial assistant,
Msaada wakuu mwenye a,b,c karibu hapa tupeane madini
Ase hii mbona inachanganya sana? Yaani tarehe 27 mwezi huu nafanya wrriten interview za masomo mawili na muda ni huohuo.
Kwamba niachane na somo moja? Kwasababu napiga simu zao hazipokelewi.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa...
Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..
Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani waliyotuletea ni WA maabara za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.