wizara ya kilimo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Wizara ya Kilimo na Wizara ya Viwanda na Biashara zaanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuhusu marufuku ya Lumbesa

    Wizara ya Kilimo na Wizara ya Viwanda na Biashara zaanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu marufuku ya Lumbesa 📍Nsimbo-Katavi 🗓️Machi 15, 2026
  2. Kitengo Cha Uzalishaji mazao chini ya wizara ya Kilimo

    Training, Research, Regulations and PRODUCTION. 1). Utafiti wa kilimo(TARI) 2).Uthibitishaji wa mbegu(TOSCI) 3).Kudhibiti wa pembejeo(TPHPA & TFRA) 4).Uzalishaji na Usambazaji mbegu(ASA) 5). FIELD(condition) CROP PRODUCTION (FCP). Mashamba darasa yawe darasa kweli kweli sio kuzugazuga...
  3. Hatari ya kutoweka kwa ndizi Bukoba (matoke) Mkoani Kagera, Je, Wizara ya Kilimo ina mikakati ipi?

    Kwa miongo kadhaa, ndizi Bukoba zimekuwa zaidi ya chakula kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera; zimekuwa msingi wa maisha, utamaduni na uchumi wa jamii nzima. Hata hivyo, nyuma ya taswira ya zao hili lililodumu kizazi hadi kizazi, kuna mabadiliko hatarishi yanayoendelea mashambani na katika mifumo ya...
  4. A

    KERO Lini Wizara ya Kilimo itanunua Mahindi Mwaka wa 2025/26? NFRA hawajibu maswali yetu

    Nianze kwa kupongeza JamiiForums kwa kazi nzuri mnayoifanya kwa kweli mnastahili pongezi kubwa. Mimi nina ombi moja, ninaomba nisaidieni kuuliza swali kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe pamoja na Wizara yake kuwa ni lini Serikali itakuwa na mpango wa kununua Mahindi kwa huu Mwaka wa 25/26...
  5. Je? Hali ya Wizara ya Kilimo kuhamasisha kilimo cha mazao mbadala katika maeneo waliyokuwa wanalima dawa za kulevya ipo je huko ulipo?

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kupiga vita kilimo cha dawa za kulevya kama bangi na mirungi. Rais Samia amesisitiza kuwa kilimo hicho si tu kinahatarisha afya ya wananchi bali pia kinadidimiza...
  6. Condester Sichalwe Apongeza Ongezeko la Bajeti Wizara ya Kilimo

    CONDESTER SICHALWE APONGEZA ONGEZEKO LA BAJETI WIZARA YA KILIMO Mbunge wa jimbo la Momba Condester Michael Sichalwe ameitazama bajeti ya wizara ya kilimo kama mkombozi kwa wakulima wa mahindi na mpunga kwa kuwa itasaidia kupata Masoko ya nje ambapo pia imeitaka serikali kuhakikisha inatokomeza...
  7. LEO BUNGENI DODOMA - Bajeti ya Wizara ya Kilimo

    LEO BUNGENI DODOMA - Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, ameelezea umuhimu wa uanzishwaji wa Mradi wa Kilimo cha Umwagiliaji ndani ya Bonde la Bugwema la Jimboni mwao. Mbunge huyo ameeleza mengi, yakiwemo yafuatayo: (i) Mhe Rais Dkt Samia...
  8. Ndaisaba Ruhoro Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo Bungeni Jijini Dodoma

    NDAISABA RUHORO AKICHANGIA HOTUBA YA BAJETI KUU YA SERIKALI YA WIZARA YA KILIMO, BUNGENI JIJINI DODOMA Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro tarehe 21 Mei, 20245 amechangia hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Wizara ya Kilimo ambapo amempongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
  9. PreGE2025 Bashe: Bila Rais Samia kuingilia kati 2021, Sekta ya kilimo iliporomoka na kufa. Tunampongeza na kumshukuru kwa kuokoa Kilimo nchini

    My Take Mojawapo ya sekta ambazo Serikali ya Samia imetoa msukimo mkubwa ni Kilimo.Soma Pre GE2025 - Rais Samia atimiza ahadi, amwaga Magari 20 ya kuchimbia Visima bure kwa Wakulima wadogo Hata Mimi nimerudi kuanza kulima tena awamu ya 6 baada ya kuacha 2016 Kwa sababu ya bei mbovu za Kilimo...
  10. Ni Malawi na sio Tanzania itakayoathirika zaidi kwenye mgogoro wa kibiashara unaoendelea. Malawi isichelewe, ichukue hatua zifuatazo!

    Wakuu. Siku za hivi karibuni kumekuwepo na mgogoro mkubwa wa kibiashara kati ya Malawi na Tanzania, mgogoro ambao ukiuangalia kwa umakini, madhara yake yanaweza kuwa makubwa hasa kwa upande wa Malawi. Kama mnakumbuka siku chache nyuma, Malawi iliamua kupiga marufuku uingizaji wa baadhi ya...
  11. Mpya kutoka wizara ya kilimo: muongozo kwa wanaoomba mkopo mfuko wa pembejeo

    WALENGWA WA MFUKO WA PEMBEJEO 1. Wakulima Binafsi 2. Vikundi 3. Kampuni zilizo sajiriwa 4. Vyama vya ushirika 5. Taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya kilimo. AINA ZA MIKOPO A. MKULIMA NAFUU LOAN Huu ni mkopo unaowalenga wanawake na vijana wenye umri wa miaka 18 mpaka 40 Kwa wanaume na 65 Kwa...
  12. Kama unataka mbegu za mazao bora ununue mbegu za Zambia na Kenya,Tanzania hii imejaa watu matapeli na Serikali haijali.

    Sijawahi elewa kiukweli Kwa nini hii Nchi imejaa watu Matapeli na Serikali Haijali kabisa.eg tunawapa wakulima mbegu za mahindi feki, Pamba feki harafu hakuna anaefidia hizo hasara Kwa mkulima. Unajiuliza hivi Kuna Serikali kweli ? Au kazi ya Serikali Huwa ni nini hasa kama haiwezi kujali watu...
  13. PreGE2025 LGE2024 Balozi Nchimbi: Wizara ya Kilimo ishughulikie changamoto zilizojitokeza msimu uliopita ili zisijirudie kwenye ugawaji wa pembejeo msimu ujao

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi leo tarehe 09 Oktoba 2024 akiwa Tinde Shinyanga Vijijini amezungumza na Wananchi na moja ya kero ilikuwa ni Changamoto ya Mfumo Katika ugawaji pembejeo kwani mkulima inamlazimu mtu kutoka asubuhi sana kuwahi lakini akakosa pia ...
  14. Kuna wapotoshaji wameanza kuzisagia ndizi kutoka Bara

    Muswano mdau. Pichani ni moja ya ndizi tamu sana ijulikanayo kama malindi, ndizi hii ambayo huwa inakuwa na vidoadoa vidogo hutofautisha ndizi hii tamu na zile nyingine pichani chini. Nchini Zanzibar, serikali ya mapinduzi Zanzibari iliwahi kupiga marufuku uagizaji na kuingiza mazao na miche...
  15. Agricom yaikabidhi Serikali Trekta 500, Power Tillers 800 na vifaa vingine vya Kilimo

    Kampuni ya Kitanzania ya Agricom imekabidhi vifaa na zana mbalimbali za kisasa za kilimo kwa serikali kupitia Wizara ya Kilimo, wakati wa maonyesho ya Nane Nane yaliyofanyika Dodoma leo. Hafla hiyo imehudhuriwa na Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan, ambaye alishuhudia...
  16. PICHA: Huyu Jamaa Hicho Kitengo Kimemfaa, Yaani amekitendea haki

    Picha kwa msaada wa Wizara ya kilimo kitengo cha kuhifadhi nafaka.
  17. Utaratibu wa kuiuzia mahindi Serikali kupitia NFRA ni mgumu sana

    Wakuu habari za siku nyingi? Bila kupoteza muda ni kwamba tunaishukuru Serikali yetu kwa kutusaidia kupata soko la mahindi lakini tunalia na NFRA.Siku ya jumanne iliyopita,tarehe 24/07/2024; Nilipeleka mahindi yangu NFRA kituo cha Kakozi,mkoa wa Songwe. Nikaelekezwa kuwa niyachekeche...
  18. S

    SoC04 Tanzania kwenye G20 2050

    Tunahusiana jamii ya watanzania wenye bahati ya vitu vingi ikiwa ni pamoja na kuwa na hamu ya serikali zenye usikivu hawamu zake zote, Kuna sehemu tumekosea tokea Uhuru hasa katika swala la kuwa na mahamuzi ya haraka kwenye fursa tulizo nazo. Hatuna tena sababu ya kusingizia ukoloni kama sababu...
  19. Je, Data za Hotuba za Viongozi huwa zinapikwa?

    Mhe. Hussein Bashe naomba ufafanuzi kidogo kama hautojali. Kwenye hotuba yako ya bajeti umesema kilimo kilizalisha ajira 475,025 mwaka 2023/24. 1. Unaweza kutusaidia ufafanuzi namna hizi ajira zilivyozalishwa na njia uliyotumia kufahamu kwamba kweli idadi hii ilizalishwa? 2. Kama sekta ya...
  20. J

    Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu (ITEL), haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond

    Nimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6. Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…