wife

A wife is a female partner in a continuing marital relationship.
The term continues to be applied to a woman who has separated from her partner, and ceases to be applied to such a woman only when her marriage has come to an end, following a legally recognized divorce or the death of her spouse. On the death of her partner, a wife is referred to as a widow, but not after she is divorced from her partner.
The rights and obligations of a wife in relation to her partner and her status in the community and in law vary between cultures and have varied over time.

View More On Wikipedia.org
  1. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Simba's fun nearly lost a wife

    .
  2. realMamy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sifa za Wife Material

    Baadhi ya sifa za mwanamke ambazo zinaweza kumfanya kuwa "wife material" ni pamoja na: 1. Uaminifu: Kuwa mwaminifu na kuaminika katika uhusiano. 2. Upendo na Huruma: Kuwa na uwezo wa kujali na kusaidia mwenzi wako katika nyakati za shida na furaha. 3. Kujali: Kuwa na uwezo wa kujali na...
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia za wanawake kutoka makabila mbali mbali kwenye vigezo vya utafutaji, wife material, pisi kali, maisha ya ndoa, mapishi, support, n.k

    N:B..Vipimo ni wastani / Average katika kundi kubwa, hatuangalii moja moja kwamba Kuna mzaramo flani ulimkuta hapendi ngoma, kuna wachaga uliwakuta nyumba flani hawapenda pesa, n.k. Pisi kali – Ni kweli nchi ina pisi kali kila kona lakini komesha ipo kwa Wanyaturu wa Singida, Wa iraqw tuliozoea...
  4. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Looking for a serious woman to be a wife

    Am looking for a a single woman to mary Me: age-30 Job:public servant Location : southern highlands Woman looking for: Age : below 30 Able to relocate Not having a child Job its not issue for me If interest check me through inbox
  5. nipo online

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndani ya nyumba nani anapaswa kujishusha?

    Inapotokea snario za kutoelewana ndani ya nyumba nani anapaswa kujishusha? Hapo awali nilikua hivyo lakini nikaona napelekeshwa kama gari bovu. Karibuni.
  6. Chief Kumbyambya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huwa naenjoy sana kuna mtu akimtambulisha mkewe tena kwa kiswanglish "huyu ndiyo wife wazee" hahahah

    Wanaumeeeee... Tuache kujizima data aisee hawa jinsia pinzani ni hovyo tu. Don't be too blind. This is for the lovers in the house, ndani ya nyumba tafuta penzi lako, mshike kwa mikono ha...... Mwangalie ndani ya macho mmh, aah, mpeleke kando, na umwambie (na umwambie)....... Commit a crime...
  7. Nyanda Banka

    JamiiForums Tanzania Zuchu ni true definition ya wife material

    Zuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe Ukimpata kama yeye Oa chap masta
  8. Doto12

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ana wiki 4 mwezi sasa tangu kujifungua, hatuna mpango kupata mtoto hivi karibuni

    Mada imejieleza wakuu. Mke shemji enu na WiFi wifu. Ana mtoto mwezi sasa ushauri wa madaktari naomba asizae tuseme asibebe mimba miaka minimum 2yrs itatakiwa. Kwa sasa anaonekana amesha pata ujauzito. Tulitumia p2 ikawa bado mwezi unayoyoma haoni period. Nilitumia p2. Je, atumie tena p2...
  9. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    Jamaa analipigania Taifa lake huku mkewe analiwa ovyo.DNA imeonyesha watoto wote siyo wa jamaa isipokuwa mwanamke kazaa na mchepuko ambaye ni baba mchungaji.
  10. D

    JamiiForums Tanzania Wives in public and at home!

  11. Ushimen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zawadi imesababisha ugomvi na wife, leo nimenasa wakuu

    Wakuu..... Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa. Ipo hivi..... Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi. Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo. Sasa skumoja nikiwa...
  12. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Need a wife

    Nahitaji mwanamke HIV positive, umri 23-30, haijalishi kabila na elimu, ikitokea ana mtoto asizidi 1.
  13. BIOX

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Looking for a future wife

    Hello! Jf family I'm looking for matured women to start a new life chapter with. I'm Christian, 35 yrs with one kid, if you're interested and you're 24 -30 yrs please leave a message in my Pm Cheers!
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefika safari yangu, wife hajaniuliza hata kama nimefika salama

    Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka. Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online. Nifanyaje wakubwa?
  15. dr namugari

    JamiiForums Tanzania Wife ameanza kuuza juice mtaani vipi nimruhusu au Nimpige marufuku

    Mimi Kazi yangu Ni mwalimu ila hapa katikati nimeamishwa shule nyingine mtaani x. Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze! Mke anavutia sana napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya.
  16. lelulelu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, nitumie dili niliyopewa ukweni hata kama wife ananitambia?

    Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa. Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa anatamba sana kwamba mimi nasaidiwa na familia yake. Wife amekuwa akiyasema hayo hata wakija marafiki...
  17. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huwa naepuka kabisa kusikiliza umbea wa mwanamke wangu, juzi niliusikiliza umeniweka njia panda

    Kama kuna kitu huwa sipendi nikiwa na mwanamke ni pale anaanza kunipa umbea. Hii inatokea sana baada ya game nono (CHAPUTA hamtojua hili) Sasa bwana, usiku wa juzi kwenye kutuliza kichwa huyo akaja na story, mie nikawa namuitikia tu kutokumkatisha (hapa ndo nilifanya kosa maana huwa namkatisha...
  18. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna mwanamke wife material ukiona ametulia ujue amekupata na anasubiria kujipata ili ujipasue akili

    Sina haja ya kusema mengi sana ukweli ndio huo kama mnavousoma hapo juu, hakuna kitu kinaitwa mwanamke wife material hakunaga, ukihisi umempata ujue kabisa umepatikana. Akijipata ndio utajua kwanini Yesu yuko mbinguni ila shetani katulia kimpango wake toka enzi hapa duniani. Tuendelee n...
  19. thegreat1510

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Never date a girl who can't respect your wife

    Wakuu nawakumbusha tu, usidate girl ambaye hana heshima kwa mke wako. Naomba kuwasilisha
  20. PAGAN

    JamiiForums Tanzania Rules of dating someone's wife

    RULES OF DATING SOMEONE'S WIFE; 1. Never take photos with her. 2. If you called and she hangs up, don't call her back, the husband is around. 3. Don't text her love messages. 4. Satan should not tempt you to sleep at her house even when her husband is out of the country. 5. Never book the...
Back
Top Bottom