Neno Amina linatofautisha matamko ya Yesu na wengine
Maandiko, katika kitabu cha Ufunuo 3:14, yanasema, kama ifuatavyo:
“Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye ‘ALIYE AMINA’, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu”.
Neno Amina maana...