Waziri Mkuu wamchongo anaendelea kutuchamba kama, boss wake mwingine
Hii serikali ya mchongo inahuzuni sana wanatuona kama watoto wao nyumbani
===============
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watu wenye nia ovu wanafanyia biashara maisha ya Watanzania kwa kuzusha taarifa za uongo.
Moja ya kitu ninacho kijutia katika maisha yangu ni kupost na kuhamasisha maandamano kwa mimi nilivyojuaga watu wanashika mabango barabarani na sikujuwa kama ilivyotokea, ndio maana niliitisha press kuwashauri wezangu tusifanye maandamano siku ya tarehe 29 tutafute siku nyingine, licha wengine...
Mheshimiwa Waziri Mkuu, Jana, tarehe 23 Novemba 2025, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, aliulizwa na waandishi wa habari kuhusu takwimu rasmi za matukio ya vifo na majeruhi vilivyotokea katika wiki ya uchaguzi mkuu 2025, na ambazo zimerekodiwa kwenye vituo vya serikali.
Gerson Msigwa...
BBC News official channel yao wamepost leo kwamba clips zilizopo mtandaoni ni za kweli na ukatili (uhaini) dhidi ya watanzania ulifanyika.
Video iliyorekodiwa nchini Tanzania imeibuka ikionyesha vitendo vya ukatili vilivyofanywa na polisi walipojaribu kukandamiza maandamano makubwa mwezi...
Aisee kumtetea mama ni kazi sana tena sana kwa video ya leo niliyoiona mhh ni hatari sana sasa sijui mama atakujaje maana huwezi mrudisha mtu aliyekufa...
Afanye yafutayo
1.Aje hadharani akiri kabisa kuwa police walikosea kufanya hivyo na akubali kuwajibika
2.Atoe full support kwa family...
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasiia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Novemba 12, 2025 baada ya kuisha kusikilizwa kwa kesi ya Uhaini ya mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu, amesema kuwa Kuhusu jambo la watanzania kuuawa Oktoba 29 haitafichwa bali litazungumziwa
Pia...
Itazame hii pisi jamani imepigwa risasi na hii mijitu isiyo na huruma kabisa!
Pumzika kwa amani damu yako na za watanzania wengine zitaungana kulipa dhuluma ya uhai huu kwa magaidi ya nchi hii!
Kutoka kwenye Page ya IG ya Twaha Mwaipaya Mfanyabiashara wa Kariakoo Sherry amefariki kwa kupigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.