…naona wote mpo busy na msiba wa Papa, lakini hamjui kinachoendelea Tunisia 🇹🇳…
Tunisia 🇹🇳 kuna Rais mwendawazimu anayeitwa Kaïs Saïd, Dikteta zaidi ya Kambare…
Huyu jamaa anamiliki serikali, Bunge na Mahakama zote nchini humo…
Juzi, kawahukumu viongozi wa upinzani, mawakili wao...