Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaendelea na mpango wa kutengeneza mazingira wezeshi kwa watanzania ili waweze kujikwamua kiuchumi kupitia mikopo yenye masharti nafuu
Serikali kupitia benk kuu ya Dunia (BoT) imetoa mkopo wa Tsh Bilioni 164,9 kwenye taasisi za kifedha na...
Serikali ya Rais Samia Suluhu imefanikiwa kukifanya kilimo kuwa biashara upatikanaji wa masoko ya kuuza mazao nje ya nchi umeongezeka.
Mauzo ya mazao ya mchele yameongezeka kutoka Tan 184,521 zenye thamani ya Bilioni 176.4 mwaka 2020 hadi Tan 441,908 hadi tani zenye thamani ya Bilioni 476.8...
Kwenu wataalamu, rejea kichwa cha thread hii. Maisha ni magumu Sana, je, loan board wanaweza kukata 15% ya deni kutoka kwa mwajiriwa kwa kurusha baadhi ya miezi? Mfano: 1-3-5-7 au namna nyingine?
Nawasilisha
Wafanyabiashara 26 watakaonufaika na Tsh. Bilioni 1.6 za UNDP (Program ya FUNGUO) wapatikana
UNDP kupitia program ya Ubunifu wa Ufunguo (FUNGUO) imeweka wazi kuhusu wanufaika wa awali wa Tsh. Bilioni 1.6 ambazo zinatarajiwa kugaiwa kwa washindi 26.
Biashara 26 za ubunifu zilichaguliwa kati ya...
Wanufaika wapya wa Mkopo zaidi ya elfu 20 HESLB 2022/2023 | Majina ya Waliopata Mkopo
Habari njema kwa waombaji wote wa mkopo wa HESLB, Allocation ya mkopo bechi ya kwanza sasa inapatikana mtandaoni kuangalia allocation ya mkopo Tembelea Tovuti ya HESLB ya Maombi ya Mikopo na Mfumo wa...
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na asasi ya BRAC-Maendeleo, imetoa kompyuta 120 zenye thamani ya Sh milioni 132 kwa shule tatu za Wilaya ya Temeke kwenye mradi wa “Skills for Their Future”.
Kompyuta hizo zilikabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, kwenye hafla...
Mnataka mseme mwezi huu hamjaona kwamba madeni yenu yamepungua kwa nusu?
Mtu ulikuwa unadaiwa milioni 15 zimebaki nane waliodaiwa 4m zimebaki 2m mbona hamumshukuru hata kwa hilo?
Habari ya uzima ndugu zangu?
Nimewaza sanaaa hili jambo,maana naona namna mwananchi wa chini kiuchumi anavyoendelea kuminywa kupitia ongezeko la mafuta.
Ni miezi miwili imepita madereva mkoani Mbeya walikuwa wanakimbilia Zambia kununua mafuta,maana ni bei nzuri kuliko kwetu. Au ndio...
Katiba Iliyopo ina mapungufu mengi yasiyoweza kuvumilika zaidi.
Ni wazi kuwa anayebeza jitihada zozote za kuanzishwa tena kwa mchakato wa kupata katiba mpya kiporo uliobakia, ni kwa sababu tu ya kuwa na uelewa mdogo au ni mnufaika wa moja kwa moja wa katiba mbovu hii iliyopo.
Wanaobeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.